Fatilia kipindi cha Dr Mumbi anavyotembelea miradi mikubwa kwenye youtube channel yake na angalia comments za watu wa mataifa mbalimbali wanavyo iongelea Tanzania na Rais Magufuli in a positive way
Naona hukumuelewa vizuri spika wa Bunge letu yeye alichosema ni kumiuta Mh. Masele nyumbani kuja mbele ya kamati ya maadili kujibu mambo ya utovu wa nidhamu aliouonyesha kwa kugonganisha mihimili miiwili ya bunge na serikali ya hapa nchini.
Kuitwa kwake hakuhusiani na yale yanayoendelea kwenye...
Ipo kikatiba ofisi y CAG kufanyiwa auditing angalau mara moja kwa mwaka na Bunge ndo limepewa mamlaka kikatiba kutafuta external private auditing Firm/company kwa ajili ya kukagua ofisi ya CAG
Serikali haitekelezi miradi kwa ajili ya muda huu pekee ina fanya even for furure ndio maana hata Japan wametengeneza Train inayo kimbia km 360 per hour lakini itaanza kutumika by 2030
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.