Recent content by chops_tz

  1. chops_tz

    Phillip lahm.

    Ballon d'or has become world's best striker'award?! ,let's discuss this wanajamvi
  2. chops_tz

    Rais Magufuli amjulia hali Waziri Mkuu Mstaafu Sumaye aliyelazwa Hospitali ya Muhimbili

    Magufuli anaugomvi na majipu sio wapinzani
  3. chops_tz

    Madaktari wote wa umma waongezwe mishahara na wasiruhusiwe kuwa na hospitali zao binafsi

    Kwa maoni yangu watumishi wote wa afya waongezewe sio madaktari pekeyao lakn sio kwa kiwango pendekezwa hapo juu, Pia naona hao maofisa wa tra na taasisi zingine za serikali wapunguziwe mshahara na marupurupu yao ili fedha nying ipelekwe kwenye mambo ya kimaendeleo na sio matumiz ya serikali
  4. chops_tz

    Nishauri: Baada ya kukosa kazi muda mrefu, nimeamua kufanya masters!

    Kwahyo unaamini ukisoma Masters utapata kazi nan?!,,Ila kwakua elimu haina mwisho sawa. Lakn mm nakushauri hyo hela fanaya mtaji kwa kujiajir. Alafu kumbuka kujiajir kunalipa sana kuliko kuajiriwa
  5. chops_tz

    Mvua nyingi Januari hii: Mama Kijazi

    Hii tabia ya kubishia kila kitu ni mbaya sana, acheni kudharau taaluma za watu
  6. chops_tz

    New Dar Master Plan to render millions homeless

    Kwan ww unapenda mabadiliko?!
  7. chops_tz

    New Dar Master Plan to render millions homeless

    Kuna watu walikua wanaishi bila kufuata sheria na kupenda shortcuts hao ndio wataumia katka safari hii ya mabadiliko
  8. chops_tz

    New Dar Master Plan to render millions homeless

    Tulipenda mabadiliko lakn tujue katka haya mabadiliko lazma kuna watu wataumia
  9. chops_tz

    Pambana na wahamiaji haramu, piga namba hizi za simu

    Waje na huku namtumbo wako wengi, Ila ulafi na uloho wa maafsa uhamiaji ndio uliotufikisha hapa, kuna lundo la wageni wengi kwenye nchi unknowingly, Inashangaza nchi masikini nayo inaaajiri wageni wakati raia wake hawana ajira.
  10. chops_tz

    Sheria ya kuwalipa viongozi wastaafu 80% ya mshahara wa kiongozi alie madarakani ipitiwe upya

    My suggestion, kama kajiuzulu kwa ubadhilifu hasilipwe kabisa, na Kama akistaafu kawaida apewe pensheni kama wafanyakazi wengine basi, haina haja ya kumlipa mtu hasiefanya kazi
  11. chops_tz

    Mada Moto: Tundu Lissu live Channel Ten

    What I know ,maisha yataenda bila lissu,, kwa kifupi nmemtoa na kum'delete akilini kwangu. Naomba msinishangae mm Nina allergy na mtu mnafiki. Mtu mnafiki hawezi kutufikisha popote na sio kipenzi cha mungu
  12. chops_tz

    Serikali yasitisha zoezi la bomoabomoa Dar isipokuwa katika Bonde la mto Msimbazi

    Alieleta thread hii hajaeleza kinagaubaga, bomoabomoa ipo palepale uliobadilishwa ni utaratibu tu
Back
Top Bottom