King Innocent
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,069
- 807
hakuna jinsi
Wakupime Akili, Sio BURE, Kama Sio SIGARA BWEGE, Basi Malaria Inapanda Kichwani!!! Kuna Kibanda Cha Laki 5 Au Mil. 5 Hapa Mjini Ambacho Utaweza Kujenga!!! Hicho Kiwanja Ni Kiasi Umenunua!! Basi Kila MTANZANIA Angekuwa Na Nyumba Ya Kuishi!!Tubanda twenyewe tutakua labda 500,000.
So 500,000x$100,000=50,000,000,000/=
Hivi kagesi ketu hakatoshi kulipia hili zoezi?
Mbona ni tujisent tu huto jamani?
Mfano ya nchi ganiTutakuwaje na masterplan ya jiji inayodumu miaka 20 tu? So kila baada ya miaka 20 tunaibadili na kuiboresha? We cant be serious! Wenzetu wanazo plan za miaka 100 sisi tunaongelea 20? Mungu atusaidie sana
Hata mim naunga mkojo hoja kuwa jiji la dsm lipangwe upya kwa kubomoa nyumba zote zilizojengwa kwa kutokufuata utaratibu
hakuna jinsi
hahahaha mkuu umenichekesha kweli, hata mm naona malaria imempanda kichwaniWakupime Akili, Sio BURE, Kama Sio SIGARA BWEGE, Basi Malaria Inapanda Kichwani!!! Kuna Kibanda Cha Laki 5 Au Mil. 5 Hapa Mjini Ambacho Utaweza Kujenga!!! Hicho Kiwanja Ni Kiasi Umenunua!! Basi Kila MTANZANIA Angekuwa Na Nyumba Ya Kuishi!!
Mkuu,Sometime unashindwa kuamini hivi vitu! Magu anatafuta kupinduliwa. Aliyepaswa kuupanga huu mji ni nani? Nasmini wana mabilioni ya kutosha kulipa fidia!
Tulipenda mabadiliko lakn tujue katka haya mabadiliko lazma kuna watu wataumia
Hivi ni nini hasa kinafanya upimaji viwanjs kwa mtu binafsi so complicated? Kwa nini isiwe huduma rahis km kuweka umeme au maji?
Vilitakiwa kuwa upande wa tanki bovu? Manake huu upande mwingine ni balaa. Viwanja either ni size ya high au pengine medium density. Ni msongamano wa magorofa.Hii kitu si ya kufanyia masikhara, itatugharimu wengi sana maana naona ni wakazi wachache sana hapa Dar wanaoishi maeneo yaliyopimwa. Sasa angalia mfano hiyo mbezi beach kwamba ni industrial area hapo ni balaa
ministry of land they believ All the people who built in areas not meant for human settlement and without the go-ahead from the Lands ministry will be deemed as invaders,...is this true?????..,,i bought the land and local government supported me and i provided 10% to the gvt as ushuru,...hawa jamaaa mbona wakatili hiviMliojenga Maeneo yasiopimwa, na Maeneo yaliokatazwa, better read this 👇👇
SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
Hii maana yake ni kwamba zaidi ya robotatu ya nyumba zilizipo Dar zitabomilewa kwani wengi wa waliozijenga ni watu wa kipato cha kawaida wasio na uwezo wa kununua viwanja vilivyopimwa!
Swali kubwa zaidi ni je, km sehemu kubwa ya ardhi ya Dar haijapimwa je ni kosa la nani? Pia je, ni sahihi kubadili badili masterplan ya jiji ndani ya miaka 20? These people cannot be serious! Serikali iwe makini na mambo yake isije ikasababisha crisis ndani ya jiji.
Kuna watu walikua wanaishi bila kufuata sheria na kupenda shortcuts hao ndio wataumia katka safari hii ya mabadilikoMabadiliko gani ya watu kuumia? Wewe unajua unachoandika kweli? Mabadiliko ni kutoka kwenye udhalili kuenda kwenye utu. Sio kutoka kwenye utu kwenda kwenye udhalili.
Hata mim naunga mkojo hoja kuwa jiji la dsm lipangwe upya kwa kubomoa nyumba zote zilizojengwa kwa kutokufuata utaratibu