Anaweza kukuomba pesa akanunue nguo unampa baada ya siku tatu anakuomba tena ukimwambia sina. Siku iyo atanunua na unyumba anabana.
Kuna kipindi huwa wanalia kabisa endapo ukimnyima kitu. Nadhani huwa ni kama watt tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.