Recent content by Chomo

  1. Chomo

    Naweza kulipwa hela yangu yote NSSF?

    hela ipo,subir mpunga wako tu mjomba..na usinisahau chochote kitu ikitoka,posho ya kukutia moyo na ushauri!!
  2. Chomo

    Fao la kuacha kazi NSSF naomba ufafanuzi

    Kiufupi nijuavyo mm.. Ukiacha kazi kwa hiari yako hupati,unaambiwa katafute kazi au subir miaka 55.. Ukiachishwa kazi na ukawa na barua ya kusitishiwa mkataba utalipwa.. Mkataba ukiisha na hakuna pande yyte ipo tyr kuendelea na mwenziwe kati ya mwajiri na mwajiriwa utalipwa,japo huwa nasikia...
  3. Chomo

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Kwahyo mkuu unashaur kuwa Sound Bar ni nzur na zina mziki mkali kuliko HT ila inategemea na brand ni ipi na ina watts ngapi
  4. Chomo

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Wakuu habari zenu, kuna swali nataka kuuliza wenda lishajibiwa huko nyuma ila kwakuwa mm ndo naingia leo kwa uzi huu itakua poa mkinifahamisha.. Naomba kujua ipi tofaut kati ya sound bar na home theater .. na pia ipi ina ubora kuzid mwenzake kati ya hzo..kwa mfano sony sound bar ya watt 1000...
  5. Chomo

    PreGE2025 Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

    Kiumri ww ni unaweza kuwa babu yangu kabisa,lkn nashangaa umeshindwa kufikiri vizur mpk ukaandika maneno hayo..inawezekana uhalisia unaujua ila unajitoa ufahamu sababu ya siasa.. Iv ni kweli mbowe anaweza kukubali rushwa ipo ndan ya chama kirahisi tu! au ametoa uthibitisho gan uliomvua nguo...
  6. Chomo

    Yuko wapi Nancy Mitikiso Salamba?

    Nancy mitikisiko alikua balaa,ile blog ailiiacha kama pango tu baada ya sheria ya makosa ya mtandao kupitishwa rasmi nae akatangaza kuachana nayo.. Kuna wazir aliwahi kumtumia hela ya laptop mpya milion 4 ili aendelee kushusha vitu ni baada ya kwake kuharibika nadhan
  7. Chomo

    Naomba kufahamishwa kwa wanaojua ni changamoto gani imeikumba biashara ya samaki kutoka ziwa Victoria?

    kwahyo tusitegemee mabadiliko ya bei siku za karibuni? kuna haja ya kubadilisha aina ya biashara sasa
  8. Chomo

    Naomba kufahamishwa kwa wanaojua ni changamoto gani imeikumba biashara ya samaki kutoka ziwa Victoria?

    lakin nasikia ziwa lilifungwa kupisha kuzaliana tena,je ni kweli na halijafunguliwa bado?
  9. Chomo

    Naomba kufahamishwa kwa wanaojua ni changamoto gani imeikumba biashara ya samaki kutoka ziwa Victoria?

    Salaam nyote, poleni na mihangaiko ya utafutaji. Wakuu mm ni mfanyabiashara wa kuuza samaki kutoka ziwa Victoria hawa sato na sangara, nikiri tu kwenye biashara hii ni mgeni yapata miezi 8 sasa. Bei zimekuwa zikipaa kila leo bila kushuka imepelekea walaji kupunguza manunuzi na hivyo biashara...
  10. Chomo

    Ni kipaji udambwi upi wamefanya Gaucho, Zidane na Okocha ambacho Neymar Jr hajakifanya katika mpira?

    football ya zaman ina utofaut kidg na ya sasa iv,kuanzia wachezaji wa zaman kulikua na viungo wakabaji na mabeki hodari na katili sana lkn pia enzi za kina gaucho kulikua na mafundi wengi sana ambao hawakuwa wabinafsi ndo maana wengi waligawana tuzo mara moja moja au mtu kazid sana mbili...
  11. Chomo

    Natafuta business partner (only serious person)

    Upo mkoa gan na je unajua hali ya soko la samaki lilivo sasa ivi? nipo ktk hyo biashara nimefunga duka jana tu,mpk upepo utakapotulia..
Back
Top Bottom