Recent content by Chomo

  1. Chomo

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Msaada wa haraka nimepata Gonjwa la Zinaa

    Ataruka kama kichaa au kuku aliekatwa kichwa,akumbuke kufunga mlango tu wa chumban ili hamadi asijikute yupo nje akiwa mtupu huku kashikilia dudu!!
  2. Chomo

    JamiiForums Tanzania Mrejesho: Msaada wa haraka nimepata Gonjwa la Zinaa

    Hyo lotion akapake,asisahau kutupa mrejesho..usisahau kumwambia awe karibu na feni au mtu wa kumpuliza baada ya kuipaka
  3. Chomo

    JamiiForums Tanzania Unauza spare za pikipiki au magari lakini biashara yako bado haikui kama ulivyotarajia?

    Eti mkuu samahan naomba unijibu swali hili kama una utaalam nalo,nimepokea msg inayoonesha nadaiwa kodi na tra lkn sijawah kujisajili ktk mfumo wwte rasmi kwao ila TIN hii imetumika ktk kufungulia line za uwakala,ktk kupata lesen ya manispaa na pia ktk malipo ya tbs ambapo kuna wakat walipita...
  4. Chomo

    JamiiForums Tanzania Yale tuliyopaswa kumuuliza Roho Mtakatifu, siku hizi watu wanaiuliza AI. Je huku ndio kumkufuru Roho Mtakatifu?

    Nifundishe jinsi ya kumpata roho mtakatifu,nifundishe namna ya kuomba msaada kwa roho mtakatifu,nifundishe ni nn napaswa kuomba kwa roho mtakatifu,nn napaswa kuomba kwa Yesu kristo,nn napaswa kuomba kwa Mwenyezi Mungu baba wa mbinguni..
  5. Chomo

    JamiiForums Tanzania Mteja na Waranti

    Ngoja nikusaidie kidg kwasababu nimewahi kufanya kazi kiwanda cha magodoro... Kiwandan yanatengenezwa magodoro aina nyingi na kila aina ina warranty yake,kuna mwaka mmoja kuna ya miaka minne mpk 12..kampuni mara nyingi hutangaza chapa moja tu ambayo inabeba brand ya kampuni hyo pekee ndo hukupa...
  6. Chomo

    JamiiForums Tanzania Naweza kulipwa hela yangu yote NSSF?

    hela ipo,subir mpunga wako tu mjomba..na usinisahau chochote kitu ikitoka,posho ya kukutia moyo na ushauri!!
  7. Chomo

    JamiiForums Tanzania Fao la kuacha kazi NSSF naomba ufafanuzi

    Kiufupi nijuavyo mm.. Ukiacha kazi kwa hiari yako hupati,unaambiwa katafute kazi au subir miaka 55.. Ukiachishwa kazi na ukawa na barua ya kusitishiwa mkataba utalipwa.. Mkataba ukiisha na hakuna pande yyte ipo tyr kuendelea na mwenziwe kati ya mwajiri na mwajiriwa utalipwa,japo huwa nasikia...
  8. Chomo

    JamiiForums Tanzania Bus gani ni zuri kwa safari ya Dar kuelekea Tunduru

    baraka classic
  9. Chomo

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Kwahyo mkuu unashaur kuwa Sound Bar ni nzur na zina mziki mkali kuliko HT ila inategemea na brand ni ipi na ina watts ngapi
  10. Chomo

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Wakuu habari zenu, kuna swali nataka kuuliza wenda lishajibiwa huko nyuma ila kwakuwa mm ndo naingia leo kwa uzi huu itakua poa mkinifahamisha.. Naomba kujua ipi tofaut kati ya sound bar na home theater .. na pia ipi ina ubora kuzid mwenzake kati ya hzo..kwa mfano sony sound bar ya watt 1000...
  11. Chomo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

    Kiumri ww ni unaweza kuwa babu yangu kabisa,lkn nashangaa umeshindwa kufikiri vizur mpk ukaandika maneno hayo..inawezekana uhalisia unaujua ila unajitoa ufahamu sababu ya siasa.. Iv ni kweli mbowe anaweza kukubali rushwa ipo ndan ya chama kirahisi tu! au ametoa uthibitisho gan uliomvua nguo...
  12. Chomo

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Nancy Mitikiso Salamba?

    Nancy mitikisiko alikua balaa,ile blog ailiiacha kama pango tu baada ya sheria ya makosa ya mtandao kupitishwa rasmi nae akatangaza kuachana nayo.. Kuna wazir aliwahi kumtumia hela ya laptop mpya milion 4 ili aendelee kushusha vitu ni baada ya kwake kuharibika nadhan
  13. Chomo

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa kwa wanaojua ni changamoto gani imeikumba biashara ya samaki kutoka ziwa Victoria?

    kwahyo tusitegemee mabadiliko ya bei siku za karibuni? kuna haja ya kubadilisha aina ya biashara sasa
Back
Top Bottom