Kiufupi nijuavyo mm..
Ukiacha kazi kwa hiari yako hupati,unaambiwa katafute kazi au subir miaka 55..
Ukiachishwa kazi na ukawa na barua ya kusitishiwa mkataba utalipwa..
Mkataba ukiisha na hakuna pande yyte ipo tyr kuendelea na mwenziwe kati ya mwajiri na mwajiriwa utalipwa,japo huwa nasikia...
Wakuu habari zenu,
kuna swali nataka kuuliza wenda lishajibiwa huko nyuma ila kwakuwa mm ndo naingia leo kwa uzi huu itakua poa mkinifahamisha..
Naomba kujua ipi tofaut kati ya sound bar na home theater ..
na pia ipi ina ubora kuzid mwenzake kati ya hzo..kwa mfano sony sound bar ya watt 1000...
Kiumri ww ni unaweza kuwa babu yangu kabisa,lkn nashangaa umeshindwa kufikiri vizur mpk ukaandika maneno hayo..inawezekana uhalisia unaujua ila unajitoa ufahamu sababu ya siasa..
Iv ni kweli mbowe anaweza kukubali rushwa ipo ndan ya chama kirahisi tu! au ametoa uthibitisho gan uliomvua nguo...
Nancy mitikisiko alikua balaa,ile blog ailiiacha kama pango tu baada ya sheria ya makosa ya mtandao kupitishwa rasmi nae akatangaza kuachana nayo..
Kuna wazir aliwahi kumtumia hela ya laptop mpya milion 4 ili aendelee kushusha vitu ni baada ya kwake kuharibika nadhan
Salaam nyote, poleni na mihangaiko ya utafutaji.
Wakuu mm ni mfanyabiashara wa kuuza samaki kutoka ziwa Victoria hawa sato na sangara, nikiri tu kwenye biashara hii ni mgeni yapata miezi 8 sasa.
Bei zimekuwa zikipaa kila leo bila kushuka imepelekea walaji kupunguza manunuzi na hivyo biashara...
football ya zaman ina utofaut kidg na ya sasa iv,kuanzia wachezaji wa zaman kulikua na viungo wakabaji na mabeki hodari na katili sana lkn pia enzi za kina gaucho kulikua na mafundi wengi sana ambao hawakuwa wabinafsi ndo maana wengi waligawana tuzo mara moja moja au mtu kazid sana mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.