Recent content by cholodinho

  1. C

    Zitto: Acha kusafiria nyota ya David Kafulia, Freeman Mbowe, na Halima Mdee

    hakika watanzania ni wajinga wana,zitto alitimiza wajibu wake kupitia Pac xaxa nyinyi povu linawatoka kwa lipi hasa msijifanye waongeaji mkadhani watu hawajui mambo yanavyokwenda coz zitto amefanya kazi aliyotumwa! mlale salama!
  2. C

    Zitto jibu hili tafadhali

    wabongo povu limewatoka mpaka midomo imevunda,zitto ni msomi na ana vyanzo vingi vya mapato kutokana na mambo yake binafsi xaxa wewe poyoyo unayeuliza swali,je unamdai? acha tabia za kike!
  3. C

    Uwezo wa Zembwela

    wabongo hamna lolote mmeona mambo yanamnyooke donge
  4. C

    Nyumba mpya ya Ally Kiba yadaiwa kufunika ya Diamond

    watu kweli washamba xaxa dhahabu asivae mwilini aweke chooni.alikiba ana akili choo hatembei nacho!
  5. C

    Zitto Kabwe: Kahama, Kawe, Ubungo na Segerea wananiomba nigombee ubunge

    mopero ndugu yangu acha ushabiki wa waimc mipasho.Zito kabwe ni mchumi kitaaluma na alikuwa mbunge kwa miaka ísiyopungua 5 huku akishika nyadhifa mbalimbali jiulize posho na marupurupu mengine atashindwa kuwa na hyo pesa? acha kebehi na wivu wa maendeleo kama ni maelezo alishayatoa ila umbea...
  6. C

    Mengi na K-lyin got married in Mauritius

    duh,wabongo povu limewatookab!! nani aliyepata faida ya ubuyu mnaoutangaza,pumbavu nyie wazen mtifikaje pale alipo mengi na c kubwabwaja mitandaoni!
  7. C

    Nape: NEC wawajibishwe

    tambwe ccm walimdanganya akatibu cuf ili apate tonge ccm mwisho wa siku kaishia kupewa tenda ya kuosha magari ya wabunge wa ccm na kufyeka nyasi za ikulu.nasikia ameanzisha kilimo cha mbogamboga msimbaz sijui kwel!!:cool
  8. C

    Ngeleja anastahili hili kwa uwezo wake

    naona wakala umejitahidí kumpamba kweli mtangaza nia wako,xaxa tukwambie kweli,huyo unayemmwagia misifa yote hyo ambayo hafanani nayo hakuna asíyejua mautumbo na mauozo yake tena usidhani watanzania ni matahira watu wameamka poyoyo we tena asipoangalia hata ubunge utamshinda mwaka huu nyang'au we!
  9. C

    Zitto Akiri Bado Anaipenda CHADEMA Japo Wamemfukuza

    achen kujidanganya kuama chama hata akina mbowe na dr slaa walikuwa ccm ndo wakajiunga chadema co acheni uboya wa kutoka mapovu midómoni eti kisa amehama chama mbona kafulila mlimzingua na chama chenu cha wachaga na bado anapeta nccr mageuzi.kwel watu wengine mach...ko
  10. C

    Hivi kwanini CCM huwa wanapendwa sehemu zisizokuwa na maendeleo?

    mtoa hoja ya wauza nguo ubungo tanesco wale ni wafanyabiashara na c wakazi! umepotea
  11. C

    Kikwete njia panda

    jaman huku sio facebook,kikwete mkwere ma membe mla panya.wap na wap! pumbavu
  12. C

    Kuuliza Multiple Choice Question katika University Exams: Tunapima nini?

    habar zenu wana jf,mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu! na wiki iliyopita lecturer alitoa test yenye maswali ishirini kumi true and false na mengine multiple choice, lakini asikwambie mtu majibu yanafanana balaa na bado kuna watu hawakuambulia hata kitu kimoja.co hoja c multiple choice bali ni wewe...
Back
Top Bottom