hakika watanzania ni wajinga wana,zitto alitimiza wajibu wake kupitia Pac xaxa nyinyi povu linawatoka kwa lipi hasa msijifanye waongeaji mkadhani watu hawajui mambo yanavyokwenda coz zitto amefanya kazi aliyotumwa! mlale salama!
wabongo povu limewatoka mpaka midomo imevunda,zitto ni msomi na ana vyanzo vingi vya mapato kutokana na mambo yake binafsi xaxa wewe poyoyo unayeuliza swali,je unamdai? acha tabia za kike!
mopero ndugu yangu acha ushabiki wa waimc mipasho.Zito kabwe ni mchumi kitaaluma na alikuwa mbunge kwa miaka ísiyopungua 5 huku akishika nyadhifa mbalimbali jiulize posho na marupurupu mengine atashindwa kuwa na hyo pesa? acha kebehi na wivu wa maendeleo kama ni maelezo alishayatoa ila umbea...
tambwe ccm walimdanganya akatibu cuf ili apate tonge ccm mwisho wa siku kaishia kupewa tenda ya kuosha magari ya wabunge wa ccm na kufyeka nyasi za ikulu.nasikia ameanzisha kilimo cha mbogamboga msimbaz sijui kwel!!:cool
naona wakala umejitahidí kumpamba kweli mtangaza nia wako,xaxa tukwambie kweli,huyo unayemmwagia misifa yote hyo ambayo hafanani nayo hakuna asíyejua mautumbo na mauozo yake tena usidhani watanzania ni matahira watu wameamka poyoyo we tena asipoangalia hata ubunge utamshinda mwaka huu nyang'au we!
achen kujidanganya kuama chama hata akina mbowe na dr slaa walikuwa ccm ndo wakajiunga chadema co acheni uboya wa kutoka mapovu midómoni eti kisa amehama chama mbona kafulila mlimzingua na chama chenu cha wachaga na bado anapeta nccr mageuzi.kwel watu wengine mach...ko
habar zenu wana jf,mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu! na wiki iliyopita lecturer alitoa test yenye maswali ishirini kumi true and false na mengine multiple choice, lakini asikwambie mtu majibu yanafanana balaa na bado kuna watu hawakuambulia hata kitu kimoja.co hoja c multiple choice bali ni wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.