Braza katoka mbaliiiiii! alishauza mitumba.

Braza katoka mbaliiiiii! alishauza mitumba.

Huyu wa mkono wa kushoto kwake najua atakua yupo humu naomba uni pm baby
hao wanaonekana ni mapacha wa kufanana, wanafanana kila kitu mzee, ukichukua mmoja utakachokikuta kwa huyo hata kwa mwenzie vilevile everything.
 
Mleta mada ya picha, mbona hukuonesha kisection cha uchungaji?Au huo uchungaji
wake ni wa kuchonga nini?
 
Mleta mada ya picha, mbona hukuonesha kisection cha uchungaji?Au huo uchungaji
wake ni wa kuchonga nini?
usimhukumu bure. angalia ile picha akiwa na mrema pale shingoni kuna chapeo ya kichungaji. alikuwa na kanisa la pentecost pale iringa mjini huyu, lilikuwa dogo sana hata hivyo. ila familia yake nahisi walikuwa wachungaji (baba na mama).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom