LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 497
Du kuna maigizo huku duniani ila ccm wamezidi na cha ajabu anaongea halafu waandishi hâta hawamuulizi maswali .yaani ujinga ufanywe na jk leo imekuwa lubuva
bahasha za kaki zinawasumbua
Du kuna maigizo huku duniani ila ccm wamezidi na cha ajabu anaongea halafu waandishi hâta hawamuulizi maswali .yaani ujinga ufanywe na jk leo imekuwa lubuva
Mbona tulishasema Ufalme wa Magamba umegawanyika MENE MENE TEKELI NA PERESI"
Hivi yule jamaa aliyekuwa na cheo hiki cha Nape, Tambwe Hizza yuko wapi? Maana naona jamaa anakaribia kumfuata huko aliko.