Aibu watu kibao si unajua dar tena??!!demu alijileta wazi kabisa halafu mzuri kinyama namba nane fulani , mpaka leo sijawai kumuona ten nilijilaumu ila watu kibao walikuwa wanamtolea macho ingawa yeye alikuwa kama ananikonyeza vile
Sijasema awe demu wangu ila nimewaza coz kila nikianzisha mahusiano mapya hayadumu mkuu na yeye sioni akiongeza mtoto wa pili au kumuona na mume sijamuona ingawa yupo mkoa mwingine na mimi na alinitamkia hivyo nitakuroga so ni kama nachunguza coz mahusiano hayadumu najikuta nabwaga kwa tukio...
Niongee tu ukweli kwenye hili mimi binafsi nilifanya mistake na coz nilikuwa tayari nakaa na mzazi mwenzangu coz alikaa ndani ya miaka mitano bila mimi kwenda ndipo akapata mtoto ni kweli kwa mtoto wa kike halafu mzuri hawezi kukaa mda mrefu hivyo alichoka coz kila siku alikuwa ananiambia niende...
Nilirudisha kwa huyu niliyezaa naye coz tumekaa kwenye mahusiano mda mrefu sana miaka 8 huyu aliyesafiri ni miaka 2 na huyu niliyezaa naye akafariki so ndipo nikajikuta nammisi huyu aliyesafiri nikagundua ana mtoto nikamove on na mahusiano mengine but hayadumu najukuta nawabwaga bila sababu na...
Nilibaki na niliyezaa nae but alifariki coz aliumwa mda mrefu, nikataka kurudisha majeshi kwa aliyembali nikamsimulia akanipa pole but naye kumbe ana mtoto, nikahisi ana mahusiano yake , nikawa na mahusiano mengine yakawa haya dumu , nikamchunguza huyu mwenye mtoto nikasikia alizaa na muhindi...
Habari zenu wandugu, naomba kaushauri kidogo
Kuna demu nilikuwa na mahusiano naye kabla ya yeye nilizaa na mwanamke mwingine.
Huyu demu ambaye bado sikuzaa naye alinikubari sana kifupi wote hata niliezaa naye hivyo hivyo coz walikuwa wanagombana sana,.
Sasa ishu inakuja huyu demu alisafiri...
True mimi kuna demu alijilengesha road sema kuna watu kibao halafu yeye akawa ananiambia unaniita ananiuliza huku sijamuita akaniambia muogaa halafu bonge la demu shape kama lote watu kibao wanamtolea macho pale road ikabidi nikaushe huku naumia mpaka leo sijawahi kuonana naye huyo duu na...
Kama umempenda mchukue huyo ukiona na din kabadili chukua huyo hao huwa wanatulia sana coz wanajua maisha, hapa wanaokukataza ni wivu tu nakuambia hilo
Kwahiyo ikiisha hiyo ramadhan anarudi tena kutukana😂😂😂🤣🤣 abaki huko huko coz tu aimbe kaswida tu, waislam hawanaga din bali wanafata sheria tu 😂😂😂 akae huko huko na asirudi tena na hata diamond
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.