Recent content by chokodari

  1. C

    JE, HUWA UNAZINGATIA NINI UKITAKA KUNUNUA SUBWOOFER(SABUFA)

    Kwenye frequency nimeona ipo kawaida ila sound clear kwenye vrtual dj ipo clear sana
  2. C

    JE, HUWA UNAZINGATIA NINI UKITAKA KUNUNUA SUBWOOFER(SABUFA)

    Asante sana mimi naunganisha na computer nimeset distortion Ya kwenye computer je sahihi,na kisha nikatumia virtual dj nika set -1 je nipo sahihi na frequency ya computer nikashusha hadi 50hz je nipo sahihi niliyoikuta ilikuwa 80hz nisaidie nipo sawa kwa setting hizi?
  3. C

    Nini maana yake? Kuota unafanya mapenzi

    Je na yule anayeota yupo shule secondary au msingi mara nyingi ingawa aliisha maliza hii ina maana gani,au kuota watangazaji wa radio mara nyingi hao wawili tu kila baada ya muda na huku huwashobokei ina maana gani? Na kuota unaokota pesa kibao halafu wenzako ambao upo nao wao hawaziokoti ila...
  4. C

    PostGE2025 Nini cha kufanya, endapo internet itazimwa tena…

    Nyie wataalam naomba mnisaidie na computer yangu window ina stack yaani nikiwasha inakaa fresh hata nusu saa,mda mwingine haifiki nusu saa inajifyatua inazima nikajaribu kucheza na seting ikakaa masaa mawili ikakata tena je tatizo ni nini?
  5. C

    PostGE2025 Nini cha kufanya, endapo internet itazimwa tena…

    Mtupeni na data jinsi ya kupata internet bure wataalam?maana wapo wanadai wana line tu internet wanajidai nazo bureee
  6. C

    Picha mbalimbali za Sheikh , Ibrahim Bakonzi

    Acha kudanganya Kudanganya watu sema udin unazidi kujaa tz mimi ni mkristo,anayezidisha udin ni rais coz wakiongea wakristo anafunga na kanisa ila waislam wanajimwaga yupo kimyaa!!!
  7. C

    Hayati Nyerere avuliwe hadhi ya Baba wa Taifa

    Unawashwa wewe🙄🙄🙄
  8. C

    Hayati Nyerere avuliwe hadhi ya Baba wa Taifa

    Niliwaza kama wewe but nikaona kweli nyerere alibugh sana ukichunguza muungano but napata tabu pindi anapoingia rais mkristo halafu anashindwa kurekebisha kero za huu muungano kwa katiba mpya ??!!yaani ukichunguza huyu mama amekaa kidogo tu karekebisha kero za zenji chap,na rais wa bara hajui...
  9. C

    Tweet za Abdul Ameir zaleta taharuki huko Twitter

    Kumbe choko tena bwabwa kabisa??!!
  10. C

    Hii ina maana gani?

    Cm zimeungwanishwa full na betri ndani kutoa mpaka kwa fundi Kuributi ilikataa nikareset app zote imefuta nimeanza na moja kabisaa
  11. C

    Hii ina maana gani?

    Na mfano computer ikiwa inawaka fresh halfu ikikaa kidogo inajifyatua inazima,nimecheki charge ipo powa kila kitu kipo fresh tatizo hili ni nini? Mda mwingine inakaa haizimi hata masaa 6 but utaona inajifyatua na kuzima na taa za charge zinawaka kama kawaida tatizo nini?
  12. C

    Hii ina maana gani?

    Si ndio kuboot? Kwahiyo nifanyeje kama computer ninayo au mpaka kwa fundi?
  13. C

    Hii ina maana gani?

    Wajameni hivi ikitokea unawasha simu yako unaona message inasomeka android starting optimizing apps 60 of 60 halafu phone ikitaka kufunguka inarudi tena kuanza mpaka inafikia hizo namba hili tatizo nini? na mbaya zaidi inafanya hivyo mpaka chaji inaisha na unaiweka kwenye chaji bado inaandika...
  14. C

    GE2025 Urais wa zamu wakristo na waislamu ni kansa ya Chuki kwa Taifa na mfumo uliopitwa na wakati

    Umeongea point me binafsi niliwahi kuongea hili ila kwa hapa tulipofika ni ngumu labda katiba mpya itaokoa haya,coz udin umejaa wazi wazi hasa akiingia rais muislam anaonesha wazi kabisa udin na tunataka rais ajaye akimaliza huyu mama naye abadilike ajae na udini kwenda mbele kila mtu afe na...
Back
Top Bottom