Asante sana mimi naunganisha na computer nimeset distortion Ya kwenye computer je sahihi,na kisha nikatumia virtual dj nika set -1 je nipo sahihi na frequency ya computer nikashusha hadi 50hz je nipo sahihi niliyoikuta ilikuwa 80hz nisaidie nipo sawa kwa setting hizi?
Je na yule anayeota yupo shule secondary au msingi mara nyingi ingawa aliisha maliza hii ina maana gani,au kuota watangazaji wa radio mara nyingi hao wawili tu kila baada ya muda na huku huwashobokei ina maana gani? Na kuota unaokota pesa kibao halafu wenzako ambao upo nao wao hawaziokoti ila...
Nyie wataalam naomba mnisaidie na computer yangu window ina stack yaani nikiwasha inakaa fresh hata nusu saa,mda mwingine haifiki nusu saa inajifyatua inazima nikajaribu kucheza na seting ikakaa masaa mawili ikakata tena je tatizo ni nini?
Acha kudanganya Kudanganya watu sema udin unazidi kujaa tz mimi ni mkristo,anayezidisha udin ni rais coz wakiongea wakristo anafunga na kanisa ila waislam wanajimwaga yupo kimyaa!!!
Niliwaza kama wewe but nikaona kweli nyerere alibugh sana ukichunguza muungano but napata tabu pindi anapoingia rais mkristo halafu anashindwa kurekebisha kero za huu muungano kwa katiba mpya ??!!yaani ukichunguza huyu mama amekaa kidogo tu karekebisha kero za zenji chap,na rais wa bara hajui...
Na mfano computer ikiwa inawaka fresh halfu ikikaa kidogo inajifyatua inazima,nimecheki charge ipo powa kila kitu kipo fresh tatizo hili ni nini? Mda mwingine inakaa haizimi hata masaa 6 but utaona inajifyatua na kuzima na taa za charge zinawaka kama kawaida tatizo nini?
Wajameni hivi ikitokea unawasha simu yako unaona message inasomeka android starting optimizing apps 60 of 60 halafu phone ikitaka kufunguka inarudi tena kuanza mpaka inafikia hizo namba hili tatizo nini? na mbaya zaidi inafanya hivyo mpaka chaji inaisha na unaiweka kwenye chaji bado inaandika...
Umeongea point me binafsi niliwahi kuongea hili ila kwa hapa tulipofika ni ngumu labda katiba mpya itaokoa haya,coz udin umejaa wazi wazi hasa akiingia rais muislam anaonesha wazi kabisa udin na tunataka rais ajaye akimaliza huyu mama naye abadilike ajae na udini kwenda mbele kila mtu afe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.