Recent content by chokodari

  1. C

    Hivi kwanini wanawake wengi wakiwa mabinti (19-24 years), wanachagua ku-date na wanaume wa hovyo?

    Aibu watu kibao si unajua dar tena??!!demu alijileta wazi kabisa halafu mzuri kinyama namba nane fulani , mpaka leo sijawai kumuona ten nilijilaumu ila watu kibao walikuwa wanamtolea macho ingawa yeye alikuwa kama ananikonyeza vile
  2. C

    Ungefanyaje?

    Mwanaume aliyezaa nae alikuwa muhindi unasemekana alifariki kwa ajari
  3. C

    Ungefanyaje?

    Sijasema awe demu wangu ila nimewaza coz kila nikianzisha mahusiano mapya hayadumu mkuu na yeye sioni akiongeza mtoto wa pili au kumuona na mume sijamuona ingawa yupo mkoa mwingine na mimi na alinitamkia hivyo nitakuroga so ni kama nachunguza coz mahusiano hayadumu najikuta nabwaga kwa tukio...
  4. C

    Ungefanyaje?

    Niongee tu ukweli kwenye hili mimi binafsi nilifanya mistake na coz nilikuwa tayari nakaa na mzazi mwenzangu coz alikaa ndani ya miaka mitano bila mimi kwenda ndipo akapata mtoto ni kweli kwa mtoto wa kike halafu mzuri hawezi kukaa mda mrefu hivyo alichoka coz kila siku alikuwa ananiambia niende...
  5. C

    Ungefanyaje?

    Kabila sikufatilia si unajua kimjinimjini ila kwa sasa yupo chuga
  6. C

    Ungefanyaje?

    Nilirudisha kwa huyu niliyezaa naye coz tumekaa kwenye mahusiano mda mrefu sana miaka 8 huyu aliyesafiri ni miaka 2 na huyu niliyezaa naye akafariki so ndipo nikajikuta nammisi huyu aliyesafiri nikagundua ana mtoto nikamove on na mahusiano mengine but hayadumu najukuta nawabwaga bila sababu na...
  7. C

    Ungefanyaje?

    Nilibaki na niliyezaa nae but alifariki coz aliumwa mda mrefu, nikataka kurudisha majeshi kwa aliyembali nikamsimulia akanipa pole but naye kumbe ana mtoto, nikahisi ana mahusiano yake , nikawa na mahusiano mengine yakawa haya dumu , nikamchunguza huyu mwenye mtoto nikasikia alizaa na muhindi...
  8. C

    Ungefanyaje?

    Habari zenu wandugu, naomba kaushauri kidogo Kuna demu nilikuwa na mahusiano naye kabla ya yeye nilizaa na mwanamke mwingine. Huyu demu ambaye bado sikuzaa naye alinikubari sana kifupi wote hata niliezaa naye hivyo hivyo coz walikuwa wanagombana sana,. Sasa ishu inakuja huyu demu alisafiri...
  9. C

    Hivi kwanini wanawake wengi wakiwa mabinti (19-24 years), wanachagua ku-date na wanaume wa hovyo?

    True mimi kuna demu alijilengesha road sema kuna watu kibao halafu yeye akawa ananiambia unaniita ananiuliza huku sijamuita akaniambia muogaa halafu bonge la demu shape kama lote watu kibao wanamtolea macho pale road ikabidi nikaushe huku naumia mpaka leo sijawahi kuonana naye huyo duu na...
  10. C

    Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

    Kama umempenda mchukue huyo ukiona na din kabadili chukua huyo hao huwa wanatulia sana coz wanajua maisha, hapa wanaokukataza ni wivu tu nakuambia hilo
  11. C

    Kuna yeyote aliyeoa single mother na wakafanikiwa kuishi vizuri tu kwenye ndoa?

    Acha uongo waislam kibao wanabadili dini tena wakitoka wanakuwa wanaokoka kabisa ushahidi upo kabisa ukitaka wewe
  12. C

    Zuchu ajitoa kwenye mtandao wa Instagram

    Kwahiyo ikiisha hiyo ramadhan anarudi tena kutukana😂😂😂🤣🤣 abaki huko huko coz tu aimbe kaswida tu, waislam hawanaga din bali wanafata sheria tu 😂😂😂 akae huko huko na asirudi tena na hata diamond
  13. C

    Zuchu kumbe ana miaka 30

    Zuchu ana miaka33 mama yake aliwahi kulopoka mwaka juzi alisema ana miaka 31 wazi wazi
  14. C

    Kwani wizkid anamshinda nini Diamond?

    Wewe unaota wizkid unamfananisha na diamond??!!🙄🙄🙄🙄 hovyo kweli wewe hebu futa comnent yako kaa kimya
  15. C

    Ali Kiba hapa kwa Dulla umefeli kabla ujaanza

    Tatizo alikiba kaanza tu na udin na urafiki mbele kwenye kusajili ndio maana hajashangiliwa kiivyo na uzinduzi wake
Back
Top Bottom