Recent content by chokodari

  1. C

    JamiiForums Tanzania Mwamposa kunyanganywa madhabahu ya Kawe kufuatia malalamiko ya wananchi

    Udini tu unakusumbua wewe achana na maisha ya wenzako wewe!!!
  2. C

    JamiiForums Tanzania Juma Lokole ampost mke mwenzie Wolper, aongea na Richmitindo live na kuthibitisha

    Kanisa gani mbona inasemekana huyo ni muslam ?
  3. C

    JamiiForums Tanzania Afariki baada ya mpenzi wake kumnyonya shingoni

    Kuna demu alikuwa anapenda kuuma sana shingo na kidevu ila niligundua ni kilele coz ,nyumba ilikuwa ina watu wengi so hakuweza kupiga kelele za sex so akaishia kung'ata but kimahaba sio kama huyu na kila akinifanya hivyo nilikuwa namkojoza kila mda
  4. C

    JamiiForums Tanzania Haya aliyeteuliwa leo kuwa Makamu wa Rais Deo Ndejembi ni Mkatoliki au siyo Mkatoliki?

    Hakuna utofauti madhehebu ya kikristo sema majengo tu ,wakristo ni kitu kimoja acha udhehebu wewe
  5. C

    JamiiForums Tanzania Khadija Kopa umezeeka jiheshimu. Sio sawa kuimba "napenda yako mashine"

    Alinikeraga sana aliposemaga tanganyika nao wanawake wavae hijabu kama zenji na wanaume kanzu coz uongozi ni wa mama mzenji,nikajua utani kumbe yupo serious na matusi juu,akadai mnapoenda kanisani mnawadindisha mapadri dah nilichoka mpaka leo huwa simuelewi tena aliongea hayo mwakahuu mwezi wa...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Nina maumivu makali mno ya jino

    Tafuna na majani ya mpera kisha unatema mate kama bado ingia fb andika dawa ya jino kuuma utaziona ukiona linaendelea kang'oe tu mkuu
  7. C

    JamiiForums Tanzania Nina maumivu makali mno ya jino

    Tumia karafuu,ponda ponda unga wake weka kwenye jino linalouma,kila linapouma kisha uje utoe majibu hapa unaendeleaje
  8. C

    JamiiForums Tanzania Tofauti kati ya Yesu na Nabii Issa

    Kwanza issa sio Yesu ni watu wawili tofauti,sijui kwanini waislam hulazimisha hilo🙄🙄🙄🙄 issa sio Yesu
  9. C

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Marekani linajiandaa kwa operesheni zinazoweza kuchukua wiki kadhaa nchini Iran

    Acha uongo wewe ,wadanganye vilaza wenzako
  10. C

    JamiiForums Tanzania JE, HUWA UNAZINGATIA NINI UKITAKA KUNUNUA SUBWOOFER(SABUFA)

    Kwenye frequency nimeona ipo kawaida ila sound clear kwenye vrtual dj ipo clear sana
  11. C

    JamiiForums Tanzania JE, HUWA UNAZINGATIA NINI UKITAKA KUNUNUA SUBWOOFER(SABUFA)

    Asante sana mimi naunganisha na computer nimeset distortion Ya kwenye computer je sahihi,na kisha nikatumia virtual dj nika set -1 je nipo sahihi na frequency ya computer nikashusha hadi 50hz je nipo sahihi niliyoikuta ilikuwa 80hz nisaidie nipo sawa kwa setting hizi?
  12. C

    JamiiForums Tanzania Nini maana yake? Kuota unafanya mapenzi

    Je na yule anayeota yupo shule secondary au msingi mara nyingi ingawa aliisha maliza hii ina maana gani,au kuota watangazaji wa radio mara nyingi hao wawili tu kila baada ya muda na huku huwashobokei ina maana gani? Na kuota unaokota pesa kibao halafu wenzako ambao upo nao wao hawaziokoti ila...
  13. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nini cha kufanya, endapo internet itazimwa tena…

    Nyie wataalam naomba mnisaidie na computer yangu window ina stack yaani nikiwasha inakaa fresh hata nusu saa,mda mwingine haifiki nusu saa inajifyatua inazima nikajaribu kucheza na seting ikakaa masaa mawili ikakata tena je tatizo ni nini?
  14. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nini cha kufanya, endapo internet itazimwa tena…

    Mtupeni na data jinsi ya kupata internet bure wataalam?maana wapo wanadai wana line tu internet wanajidai nazo bureee
  15. C

    JamiiForums Tanzania Picha mbalimbali za Sheikh , Ibrahim Bakonzi

    Acha kudanganya Kudanganya watu sema udin unazidi kujaa tz mimi ni mkristo,anayezidisha udin ni rais coz wakiongea wakristo anafunga na kanisa ila waislam wanajimwaga yupo kimyaa!!!
Back
Top Bottom