hahahaha! Eti na sisi tuna demokrasia , sasa hapo uhuru wa kujieleza uko wapi !!! Ivi umeawahi imaging au ona mara ngapi raisi wa Marekani anatukanwa !!? and it have never bother anyone......basi huyu ni wa Tanzainia sisi tuna maadili sana, sasa mbona ata hao viongozi wa siasa hukashfiana sana...
Most of pretend to be xo strict kumbe ushuziiii!! They always end up losing especially kwenye love Ila jamani kwenye utendaji kazi these guys are mwaaaa!! ...... Private sectors Arusha ndo tunajua competition yao........ Kwa tabia hizo hafai ila pia kaa tulia angalia na positive side yake then...
Hii michina ya bei rahisi hii! Itatuua. Mtu kaona kina Madonna cjui wameongeza takataka gani na yeye huyo anataka!!!.... anadhani mia mbili... Tunakuja ku end up na shit za hips sitasita hawajui those are even guaranteed for years.... Chefuu!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.