Wanaume komeni kututisha

Wanaume komeni kututisha

Before you judge my life, my past or my character... Walk in my shoes, walk the path I have traveled, live my sorrow, my doubts, my fear, my pain and my laughter.. Remember, everyone has a story. When you've lived my life then you can judge me...!

Kila mtu kaumizwa naona, Sasa Mwenye thread punguza mapovu!!!!! Acha watu waseme yanayowasibu kwa sababu kusema kwao ndiko wanakopata uponyaji.
 
Huyu mmakonde atakuwa wa msumbiji maana kimakonde chake kigumu mno.
 
Madhara ya Beijing.
Theoreticaly yes but practically no.
 
Hivi nyie wanaumee zina watosha kweli?

Kila siku kazi yenu kutisha wanawakee maraa oohh ameji haribiaaa nilikua na mipangoo ya kumuoa, Kwani hizo ndoa tuna hitaji peke yetu nyie vipi? Hamu hitajii?

Kwa taarifa yenuu musitutishee na hizo ndoaa na mkome tabiaa ya kujifanyaa muna tusaidiaa muki oa wanawake.

Ume nipenda at ur own risk, sio nifanye makosa kidogo ohhh..nilitaka kumuoa lakini kajiharibiaa.

Sikieni, huu sio wakati wa ujimaa this is 21 century women have a lot of options ndoa sio kila kitu.
Halafu mulivo wajanjaa muna tujengaa ki saikolojaa kua wanawake ndo wanashida ya ndoa.

Kama jinsi mwanamke ana hitajika awe mwema ili aolewe na nyinyi muwe wemaa ili tuwakubali.

Habari ndo hiyo.
Dada mbona unaongea kwa kigugumizi kikal namna hiyo angalia usije ukaua mtu maana watu wenye vigugumizi kwa hasira hamjambo
 
hahahahahaha
hii kama vile ni jibu la ile thread nyingine tena
 
Kitu kimeiwaingia swaafi sana naona mmeshindwa kuvumilia tokweni povu ila ukweli ndio huo,kwanza na mlivyo wachache nguvu zenyewe za soda,nyie kwa nyie mnatamaniana,tutanunua dildo halaf na sie tutajimalizia shida zetu wenyewe alaaaaa
Haya maneno yako Kweli....!???
 
Hakuna mlevi anayeimba wimbo asioujua, mtoa mada yamemsibu pole
 
Wanawatisha wewe na nani? Jisemee nafsi yako wewe mtoa mada hakuna za uso wala nini maana hata wanawake wenzako wanakungaa kulikoni, umekurupushwa wapi.
 
Hahahahahah! Kidogo niripoti Takukuru kuhusu ufisadi wa kupandishwa cheo ghafla JF bila kufuata utaratibu. Anyway, just joking. Wish you nice charisma!
Hahaha loh roho mbaya,naonaga hvo vyeo bt sielewagi em nieleweshe
 
Back
Top Bottom