Recent content by Choce

  1. C

    JamiiForums Tanzania Kilimo na biashara ya mkonge/ katani Tanzania

    nmeisoma pdf imenifanya nitamani kulima hilo zao lakini sina ABC za shamba napataje pa ningependa kujua kwa kuanza unashauri atlist mtu aanze na heka ngapi ndo atapata faida na kwa makadilio katika hzo heka natakiwa niwe na shiling ngapi za kuanzia???
  2. C

    JamiiForums Tanzania Zingatia haya mambo kumi kabla ya kufungua kampuni yako

    gharama za kufungua company ni kiasi gani au yanipasa kua na kiasi gani mpaka company inakamilika
  3. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Sh ngapi
  4. C

    JamiiForums Tanzania Hekalu Pacha za Sol na Mon: Kupanda Ngazi ya Kusahau kwa Kimbingu hadi Kurejea kwa Ulimwengu Ufichuzi wa Siri Zilizofichika

    Changamoto lugha iliyotumika ni lugha ngumu kwa sisi watu wa kawaida kuielewa mfano fotoni ndo nini
  5. C

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Hiyo 5m haitoshi mkuu kuku mmoja kwa wastani anakula 15,000 mpaka 16,000 so kuku 1000 wa mayai inatakiwa uwe na milioni 16 mpaka wanapoanza kutaga miezi mitano
  6. C

    JamiiForums Tanzania Upatikanaji wa soko la pumba za mahindi

    Unauzaje kwa gunia
  7. C

    JamiiForums Tanzania Anaefahamu kufanya manunuzi kupitia Alibaba App au WEBsite

    Link iko wapi tujoin group
  8. C

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum: Growth Hacking

    Asante kwa kutujuza.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Biashara ya kupika na kuuza maandazi

    Kg moja inatoa maandazi 35 ad 40 Fanya mahesabu sasa Maandaz 200 kg ngapi
  10. C

    JamiiForums Tanzania Anahitajika Academic manager 1

    Tunaapply vipi hyo nafasi Nmekidhi vigezo
Back
Top Bottom