oruguyo
Senior Member
- Jul 28, 2012
- 130
- 35
Ndugu wana jamvi naomba Kutumia nafasi hii Kufahamishwa ni kwa jinsi gani ninaweza kupata Soko la Uhakika la Pumba za Mahindi, Pia namna Bora ya kuendeleza biashara na kuongeza thamani ya nafaka ikiwemo Mahindi, Karanga, pia Mchele.
Kwa upande wa pumba za Mahindi Mpaka sasa nimekusanya gunia (120) Mia moja kwa mawasiliano 0765780307 au 0785749953. Geita katoro au ushirombo bukombe.
Kwa upande wa pumba za Mahindi Mpaka sasa nimekusanya gunia (120) Mia moja kwa mawasiliano 0765780307 au 0785749953. Geita katoro au ushirombo bukombe.