Recent content by chiyelu

  1. chiyelu

    Mlio oa au kudate na wanawake wa kimachame njoeni hapa tufarijiane ndugu zangu

    Babang mdgo alio mmachane...aisee ni hatari Siku anafariki Ile tupo hospital anafariki tu Akakimbia akawasha gari akaondok ikabidi tumfatilie labda anauchungu sana anaweza kujidhuru alooooo...[emoji23][emoji23][emoji23] Kakimbia nyumbani chap akatoa card za magari na hati za nyumba akahamisha...
  2. chiyelu

    Paul Makonda Mmoja ameisambaratisha na kuizima CHADEMA mitaani

    Watanzania hawana shida na Chadema Wala CCM Watanzania wanahitaji maendeleo Hasa sehem za vijijini Hakuna Maji Miondombinu mibovu Rushwa imekaa kweny taasisi za selikali Ukosefu wa ajira Kwa vijana wengi Ubadhilifu wa Mali za umma Siasa Bora ni zile zinazotoa majibu Kwa wananchi sio kuzima...
  3. chiyelu

    Ukweli usemwe: Ni Mwenge wa Uhuru au wa Utumwa?

    Jibu hoja fanya hivi wewe mtajie faida Muelimishe ambapo unaona Hana Elimu ya mwenge.. Tafdhari jibu hoja sio kumshmbulia mtu Inawezekana ukimulimisha wewe Leo ataelewa kma wewe ulivyo Elewa. Mjibu faida za kuzungusha mwenge wa uhuru Tanzania nzima! Mpe faida usitukane na kumdhihaki!
  4. chiyelu

    Maandamano yasiwe ya CHADEMA tu, mambo ni mengi ya kuilalamikia Serikali ya CCM

    Hakuna mtu ataandama siku ya tareh 24 niamini Mimi!
  5. chiyelu

    2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

    Waarabi mwaka huu hawpo seriously kabisaa yani wanacheza Ili mradi mashindano yapite..
  6. chiyelu

    Kijana unayejitambua kama una 1.5M fanya hii kitu utakuja kunishukuru

    Kilimo inatakiwa uwe na roho ngumu kama legelege...itakua ngumu sana! Mfno Mkoa wa Ruvuma mwaka Jana Mahindi yalikua Tsh 900-1100 Kwa kilo Mwaka huu mda huu ninavyo ongea kilo Tsh 450-560 na selikali IPO busy na maandamano ya Chadema!
  7. chiyelu

    Mwaipopo akemewe ataleta balaa la chuki za kidini

    [emoji23][emoji23]
  8. chiyelu

    Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

    [emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa..
  9. chiyelu

    PreGE2025 Kitu gani cha Ajabu wanachofanya CCM Madarakani ambacho vyama Vingine haviwezi kufanya?

    Kuzalisha "Chawa wengi" Aisee Kuna machwa mtaani kibao....ni hatari Sana natudia Kuna machwa wengi sana mtaani...namaanisha Chawa.
  10. chiyelu

    Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

    Wakati wa kivuna hapa nazungumzia Mkoa wa morogoro wilaya ya malinyi Gunia hufika had Tsh 45000 Inatakiwa uweke kambi wewe mwenyewe Kama mwezi mil 10 ni kama gunia 220 Gunia Hilo Hilo la mpunga unaweza uza had elf 90 had laki na 20.unawez uzia hpo hpo Kijiji au unasafirish. Pia unaweza kununu...
  11. chiyelu

    Nina mtaji wa milioni kumi; nifanye biashara ipi kati ya hizi nilizochagua?

    Fanya biashara ya mazao ya chakula hasa Mpunga... Huto jutia
Back
Top Bottom