Recent content by chiuta

  1. chiuta

    Maajabu; Baa kuwa ukumbi wa muziki Morogoro

    Jamani kilio changu kinaendelea WAMEANZA KUPIGA MAMIZIKI YAO KWA SAUTI YA DISCO. JAMANI MTUHURUMIE. SASA HII SI BAA BALI NI UKUMBI WA DISKO.
  2. chiuta

    Maajabu; Baa kuwa ukumbi wa muziki Morogoro

    Ziko Baa mzee, ninazozifahamu ni mbili, hii inayopiga muziki mkubwa sidhani kama inastahili kuitwa Baa, inabidi afanye maboresho kidogo. Kasanga si uswahilini unavyofikiria mzee watu wanatupia majengo ya maana mzee, Kuna nyumba za maana huku.
  3. chiuta

    Maajabu; Baa kuwa ukumbi wa muziki Morogoro

    Ni kweli hali ni ngumu, basi aweke sauti ya kawaida tu wateja wake wanywe hizo bia. Kuliko kufungulia hayo maspika yake FULL VOLUME yalete kero kwa majirani. Mzee ni shida kuishi karibu na hii Baa!
  4. chiuta

    Maajabu; Baa kuwa ukumbi wa muziki Morogoro

    Kwa masikitiko makubwa nawakilisha hii taarifa kwa viongozi wa ulinzi na usalama wa Morogoro. Hapa katika kitongoji cha Kasanga, nje kidogo ya mji wa Morogoro kuna Baa moja inakera sana. Nasema inakera sana kwa sababu ya SAUTI KUBWA YA KUPITILIZA YA MUZIKI WANAOPIGA. Wanatumia MASPIKA makubwa...
  5. chiuta

    mnaofanya kazi mbali na wake zenu kujeni mumshauri huyu ndugu

    Namshauri asiwe na mtazamo wa jogoo wa kuchakuwa na kula. Maisha si leo, Maisha ni Jana na kesho! Aangalie future yake! Suala si kupata mshahara mkubwa leo. Nafikiri suala ni kuangalia ya " kesho" katika sehemu zote mbili. "Kesho" ya kuwa serikalini ni nzuri zaidi kuliko hizo shule binafsi...
  6. chiuta

    Hamisa Mobetto achana na kuimba, kipaji hicho huna!

    Acha kumkatisha tamaa binti wa watu! Hilo Ni pepo la kukata tamaa! Hata Diamond aliambiwa hajui kuimba! Hamonizer naye je? Si aliambiwa hajui kuimba. Mwache ahangaike Kuna siku atafaulu tu! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. chiuta

    Wana Yanga michango yenu inatumika kulipa faini za kijinga!

    Pilipili iko shamba kunachokuwasha Nini? Tuachie Yanga yetu! Hatutaki unafiki na ukimbelembele! Tuachie Yanga yetu. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. chiuta

    Nakiri kuwa na wasiwasi na upakaji wa rangi wa ndege ya Fokker uliofanywa hapa nchini badala ya nje ili kuokoa mamilioni ya fedha

    Hawajakuwa vilaza hivyo unavyowafikiria wewe, na usijifanye wewe unajua zaidi yao! Waache wachape kazi, au wewe ulikuwa kwenye dili hilo nini? Unajifanya unaliangalia Hilo suala kwa jicho la tatu kumbe "dili lenu limekwama" [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. chiuta

    Tundu Lissu ampaisha Kangi Lugola

    "shujaa"?[emoji1][emoji56] Sent using Jamii Forums mobile app
  10. chiuta

    Maamuzi ya Lukuvi mbele ya mawaziri 7 "msiwaondoe kwanza"

    Safi sana Lukuvi Sent using Jamii Forums mobile app
  11. chiuta

    Itungwe sheria timu ikifungwa 5 nje ya nchi iwekwe bond ili tuchukue mkopo benki ya dunia tumalizie SGR

    Haji Manara atayarishe muswada huo "itapendeza" Sent using Jamii Forums mobile app
  12. chiuta

    Nalaani kitendo cha mkuu wa mkoa wa Tabora, Agrey Mwanri kuidhalilisha taaluma ya uhandisi nchini

    Jamaa huyo anayeitwa injinia ni mpigaji mkubwa ndiyo maana alikuwa na wasiwasi mbele ya RC huyo! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. chiuta

    Hivi kwanini Nyerere aliidhinisha kunyongwa Mwamwindi?

    Mie bubafsi siioni hoja ya kutuletea humu jf tujadili kwa sababu za msingi zifuatazo; 1. Anaposema nyerere alisaini hukumu ya kifo cha mwamwindi haraka. - mtoa maada anaposema haraka, ana taarifa Ni siku ngapi Nyerere alisaini toka pale alipohukumiwa. Na anafikiri ingesainiwa siku ngapi baada ya...
Back
Top Bottom