aisee osokoni umeongea lakini naona kama hicho kidonge ulichompa hakimtoshi...muongeze akome kuleta post ambazo hata hazieleweki...kuna watu vilaza dunia hii acha tu...wewe hapo mlimani sijui unafanya nini...ni mwanafunzi au?ukijibu hilo naweza kukuelewa kidogo..maana uwezo wako wa kufikiria...
na bado mtasema sana....mpaka 2015 hata hiyo pilau mtakuwa mshasahau ladha yake.....lakini ndo mjifunze sasa msirudie makosa hahahahahahh jamani inasikitisha lakini matatizo mengine tunajitakia wenyewe wadau...
sasa kwa kweli tanzagiza tumefika pabaya..... kwa hali hii ccm inabidi ijipange sawa sawa 2015 otherwise................najua jibu mnalijua. yaaaani siku yote imeshaharibika kweli nimeamini hakuna serikali duniani yenye suprises kama tanzagiza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.