Jamani nimesikiliza kipindi cha jahazi leo kibonde akijadili kifo cha mwandishi mmoja wa habari huko mwanza aliyeuawa kikatili mr Masatu.
Kilichonishangaza ni ushauri alioutoa kwa watanzania na wanahabari kwamba kama habari inahatarisha maisha aachane nayo.
Jamani hii imekaaje?
Kilichonishangaza ni ushauri alioutoa kwa watanzania na wanahabari kwamba kama habari inahatarisha maisha aachane nayo.
Jamani hii imekaaje?