Recent content by Chiqa

  1. Chiqa

    Najivunia kuwa mzalendo

    Mziki ni mmoja ila style ya kucheza ndo kila mtu na yake.. mtanyooka tu!!
  2. Chiqa

    Huu ukimya unaashiria nini kwa Wapinzani hapa nchini?

    Sasa hilo nalo tusi?.. we utakua na tatizo la ukosefu wa usawaziko wa hisia.. Wasemee wewe Watanzania.. au anzisha Chama chako kiwe kinakula ruzuku kila Mwezi, Sasa Kama yanayofanyika Mazuri Kuna haja Gani ya Vyama vya siasa kusema chochote Mkuu, Punguza Ngendembwe!! Tumeridhika na...
  3. Chiqa

    Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    [QUOTE=" Birthday mate, Happy birthday to us!
  4. Chiqa

    Kigamboni: Askari Magereza wamuua Neema Dominic kwa risasi wakati wakimdhibiti raia aliyeachiwa huru na Mahakama

    Kuna muda hua nawaza Kwamba hii nchi ni ya kipuuzi Sana Ila nikiwafikiria waa Africa wenzangu wa Ethiopia, Somalia na Sudan nabaki kushukuru Mungu tu kwa yote.. Ila hakuna mwanzo usio na Mwisho! Majanga Kama haya hayaepukiki kiurahisi zaidi nikuomba Mungu tu Amani na Upendo vitamalaki!
  5. Chiqa

    Serikali kumwaga ajira za kutosha mwaka huu na mwanzoni mwa mwaka ujao

    Kausha dear, mambo ya shamba hayo..
  6. Chiqa

    Darasa Huru: Ufundi Laptop (Beginners To Advanced) Introduction

    Nasabuskraibu kaka, naomba unitag mkuu
  7. Chiqa

    Nina shahada ya ualimu natafuta kazi

    Hebu njoo Pm haraka
  8. Chiqa

    Hivi Serikali imeamua kabisa watu wafe kisa Miradi?

    We Kama haujasoma waache waliosoma walalamikie ukosefu wa ajira.. Kwani we ulikatazwa kusoma si umburula wako na kuendekeza uzinzi kilisababisha ukafeli.. mtoto mat.ko Sana wewe
  9. Chiqa

    Kajenga katika kiwanja cha mwanamke kinachomtokea utamhurumia

    Wanasema Mtu akijifanya kichaa we jifanye Chizi alafu muonyeshe Mchakato! Mi ningen'goa tofali kudadadeki! Kila mtu abaki na Chake.. ningebandua mabati, tofali nazitaftia mteja, kwa jerojero nalala mbelee!!
  10. Chiqa

    Wazo la ajira kwa Serikali

    Wazo zuri Sana Sema Wachangiaji ndo hakuna na hata hiyo serikali Kama imeshindwa kujenga Shule, zahanati au Vituo vya Polisi na Nyumba za watumishi sidhani kama itakuelewa..
  11. Chiqa

    Majibu kwa Ontario kuhusu kuitwa tapeli wa Biashara ya Forex kupitia TMT

    Ubongo wenye thamani kubwa Sana.. yaan Kama ubongo Ungekua unauzwa huyu jamaa angeuza wa kwake Bei gari Sana maana ameudecorate kwa knowledge kiasi umekua sio wa kawaida.. hua nafuatilia post zake insta, kwa kweli hua sijilaumu Sana.. big up Brother Jeff..
  12. Chiqa

    DELL LAPTOP INAUZWA LAKI 280

    Unapatikana Wapi Mkuu
  13. Chiqa

    Ongezeko la vijana kujihalalishia mabinti wa watu bila ndoa

    Ishi Maisha yako achana na ya watu, we Kama umeolewa si utulie kwenye ndoa yako.. Maisha hayana formula na usiishi kwa kukariri.. we umeolewa kwa ndoa Kuna kitu gani kimeongezeka?, Kurukaruka kwa Bisi ndo kuiva kwenyewe huko,kalaghabaho!!!!!
Back
Top Bottom