Nchi hii ni Nani anayeweza kuchangia pasipo kuambiwa..halafu watu kama nyinyi hata hamna watoto mnaosomesha..
Hali iliyopo mashuleni unaijua...?
Endeleeni kuwa mamburura mje tawaliwa milele..
Kinachochoshangaza ni kwamba sensa huwazinafanyika nchi hii..lengo moja wapo huwa ni Ku predict trend ya population kwa umri hivyo kupelekea kutambua uhitaji wa Huduma Fulani kwa umri..kwa mfano mahitaji ya madarasa,Huduma za Afya ,JAMII nk..sasa huu mkurupuko wa kutaka Kujenga madarasa bado...
Naona ww ndio uelewa wako ni hafifu..suala ni tukio lililogusa wanasheria yaani ulipuliwaji wa ofisi za wanasheria na si chama cha chadema kwa hyo kama Mwenyekiti hatua aliyochukuwa ni sahihi kwa mwamvuli wa uenyekiti..acha ulofa nyumbu mkubwa we...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.