Me zilizonishika za enzi hizo mpaka leo zipo kichwan na nazikubali sana ni
1.Bush Party by Mabaga Fresh
2.Nakuhitaji by Caz T
4.Mtoto wa Geti Kali- Inspector Haroun
5.Salome - Dully Syskes
6.Starehe - Ferouz
7.Kazi ya dukani - Dogo Mfaume
8.Alikufa kwa Ngoma - Mwana FA
9.Kila ulivyo nakupenda tu -Dudu Baya
10.Zuwena - Mr. Paul
11.Chini ya 18 - Legendary Sugu
12. Zali la Mentali - Profesor Jay
13.Uko Wapi - Ray C
N.k
Kuna ule wimbo wa Q-Chief na Lady jay dee yaani zilikuwa ngoma nzuri sana na zenye ujumbe.
Kweli Old is Good.
Siku macho nikiyafunga kamwe mimi sitoanguka ....Mwana F.A Ft JIDE (Mwanafalsafan album)Bush party nadhani ni solid ground family
Hatar sana hii kitu, hv naweza kuipata kweli?Suuuuuuugu Mooottttttoo Chini, Ni Mottttto Chini! BITI La Wimbo Huu Hapanaga Tokea
Mm pia naomba msaada wa hii ngomaWadau naomba msaada mwenye wimbo wa snoop lee - wrong number
Shikamoo kwanza UnitHii kitu ni hatari, wengi mlikuwa bado wachanga
Tunafanya kazi inayoonekana, lakini ooooo...wapi, faida haijaonekana...!!! Hatar sana, nature kasimamia kiitikio hapo!1. Tunanya kazi- juma nature ft k south
2. Fagio la chuma
3. Naskia utamu_ the bugz
Kila swali darasani unaniuliza mimi tu, kwani wengine huwaoni?!tulianzisheni la kigeto getoo, juma nature p-funk na king sapeto...