Kweli ninyi ni vichekesho,leo hii hata akitoka magufuli akajiunga na ukawa mtakuja hapa na kashifa zake kibao bila kujua kinachotukela sisi ni hao mnaowatuhumu kwa nini hamuwachukulii hatua za kisheria ili tuwe na imani nanyi,lakini mnakuja hapa na story za abunuwasi nani atawaelewa?
Hivi ni nani asiyejua ccm ndio waasisi wa rushwa na u fisadi uliokithiri nchi hii, leo hii tumeshuhudia chaguzi mbalimbali zinazofanywa na ccm ktk ngazi mbalimbali kuanzia udiwani na ubunge,ni nani asiyejua rushwa ikitumika ktk chaguzi hizo na kibaya zaidi safari hii wamebainika wakitumia kadi...
Hata zuma alikumbana na kashifa kibao Africa kusini,lakini alichukua nchi sasa wewe endelea kujifariji kana kwamba watanzania wa leo ni watu wa kupumbazwa na ujinga wako kuhusu slaa,watu hatukuelewi kuhusu slaa ukizingatia yupo kwenye kundi la wanyonge hakuna mtetezi mwingine zaidi na hatatokea...
Wewe ndiye unayefikiri kwa kutumia masaburi na rais wako dhaifu,hivi aliyejipangia kuwahutubia wananchi kila mwisho wa mwezi ni nani? hivi tar- 1 imegeuka kuwa mwisho wa mwezi au tupe sababu za msingi zilizomfanya ahutubie tar-1 badala ya tar-30.mijitu kama nyinyi ni lazima mtakuwa na elimu ya...
Tunataka akiwa rais wa nchi alipwe zaidi ya 7.5m,kwani TZ tuna rasilimali za kufa mtu,tatizo zinaporwa na nyinyiem na serikali yake.angalizo kwa watumishi wa serikali ni raha tupu *Peoples power!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!2015*
Wewe ni kilaza tu,huyo rais wako mwenyewe kila kukicha ni aibu tupu pamoja na watendaji wake,mbona huongei unaona issue ya nassari ni bonge la soo! bora unyamaze kenge maji mkubwa ww!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.