Ccm hawangekuwa wanatuibia tungeweka lami hadi barabara za kuelekea vyooni.chadema wasinge kuwa wanatushitua kutoka kwenye usingizi wa kibundi tulio nao kuwa mafisadi tulio wafuga ndani ya chama chetu kuwa wanaliangamiza taifa tungeishi tz kama peponi.Wakati tunapata uhuru tulikuwa na Barabara ya lami moja na sasa kila mkoa unaunganishwa na lami, Secondari mpak a kwenye kata, mafisadi wanashughulikiwa,....
Unadhan Chadema wakishika nchi watafanya nini zaidi ya kutuibia tu kwa sababu chama chao hakikuwa chama cha siasa,
Dr Slaa amebeba fedha za Chama anajenga Nyumba yake bila kupewa na Chama Je akikabithiwa nchi atafanya nini kama kaanza wizi mapema,,,,,
Cha Msingi kwenye nchi yetu kupata viongozi wazalendo
Wakati tunapata uhuru tulikuwa na Barabara ya lami moja na sasa kila mkoa unaunganishwa na lami, Secondari mpak a kwenye kata, mafisadi wanashughulikiwa,....
Unadhan Chadema wakishika nchi watafanya nini zaidi ya kutuibia tu kwa sababu chama chao hakikuwa chama cha siasa,
Dr Slaa amebeba fedha za Chama anajenga Nyumba yake bila kupewa na Chama Je akikabithiwa nchi atafanya nini kama kaanza wizi mapema,,,,,
Cha Msingi kwenye nchi yetu kupata viongozi wazalendo
Chadema wanapeana madaraka kwa ukanda, na si wazalendo..
Slaa kachukua pesa za chama bila idhini anajenga nyumba...
Chadema wanapeana madaraka kwa ukanda, na si wazalendo..
Slaa kachukua pesa za chama bila idhini anajenga nyumba...
Chadema wanapeana madaraka kwa ukanda, na si wazalendo..
Slaa kachukua pesa za chama bila idhini anajenga nyumba...
הם נותנים את הדואר באזור, ולא המקומי ..
הודעות צד לקחו כסף בלי רשות בונה בית ..