A revolutionist
Member
- Mar 1, 2012
- 61
- 10
Nguli wa tasnia ya habari nchini tanzania ama hakika amenena vema juu ya mustakabali wa nchi yetu na katiba mpya! Watanzania tuungane wote na mawazo haya jengefu ya ulimwengu.
Wakati mataifa makubwa ya ulaya wana fanya juhudi ili muungano wao wa EU uweze kushamiri na huku sisi waafrica tuna fikiria kubomoa hiyo miungano iliyopo. Je tutafika.......?
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umekuwa ni kikwazo cha maendeleo hata ya EAU. Yatupasa tusahau tofauti zetu na tutafute mbinu ya kuudumisha huu muungano ajili ya maedeleo na usalama wa taifa letu.
Utakapo vunjika faida itakuwa kwa mabeberu na hasara itakuwa kwa watanzania.
Ni juu ya viongozi kukubaliana na wananchi juu ya aina ya muungano utakao tuwezesha kukabiliana na mafisadi.
Wakati mataifa makubwa ya ulaya wana fanya juhudi ili muungano wao wa EU uweze kushamiri na huku sisi waafrica tuna fikiria kubomoa hiyo miungano iliyopo. Je tutafika.......?
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umekuwa ni kikwazo cha maendeleo hata ya EAU. Yatupasa tusahau tofauti zetu na tutafute mbinu ya kuudumisha huu muungano ajili ya maedeleo na usalama wa taifa letu.
Utakapo vunjika faida itakuwa kwa mabeberu na hasara itakuwa kwa watanzania.
Ni juu ya viongozi kukubaliana na wananchi juu ya aina ya muungano utakao tuwezesha kukabiliana na mafisadi.
Wakati mataifa makubwa ya ulaya wana fanya juhudi ili muungano wao wa EU uweze kushamiri na huku sisi waafrica tuna fikiria kubomoa hiyo miungano iliyopo. Je tutafika.......?
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umekuwa ni kikwazo cha maendeleo hata ya EAU. Yatupasa tusahau tofauti zetu na tutafute mbinu ya kuudumisha huu muungano ajili ya maedeleo na usalama wa taifa letu.
Utakapo vunjika faida itakuwa kwa mabeberu na hasara itakuwa kwa watanzania.
Ni juu ya viongozi kukubaliana na wananchi juu ya aina ya muungano utakao tuwezesha kukabiliana na mafisadi.
| | |||||||
|
Mi nazani wakati wa kutoa maoni ndo mahala sahihi kwa kujadili muungano kwamba uweje ( kama twautaka ) au kuuvunja kama hatuutaki
Muungano ufe kila mtu ashike lake tuachane na hao wanyonyaji
Muungano umo kwenye katiba hivyo ni muhimu kujadili katiba in its totallity. Kama hujadili muungano ina maana itakuwa ni kuweka viraka kwenye katiba kwa kuwa Ibara inayohusu muingano haitaguswa.
Kweli wahenga walisema Wakati ukuta, hata jenerali ulimwengu anahoji uhalali wa muungano. Hata huko aliko mwalimu Nyerere atakuwa anajisikia vibaya kwamba hata jenerali aliemwamini sasa anataka muungano uvunjike. Rais hajazuia Watu kujadili mfumo wa muungano, alichosema hakuteua tume ya kuvunja muungano. Wanaolalama ni wale waliotaka kutumia mjadala wa katiba kuvunja muungano. Tunacho jadili ni katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, sasa tukivunja muungano, tuna jadili katiba ya nchi inaitwa nini? Jambo la kwanza katika katiba ni kutamka jina la nchi na mipaka yake kisha misingi na kuendelea. Sasa. Tuvunje nchi kisha tujadiliane kuhusu katiba ya nchi gani?
Katika hicho kipindi cha majadiliano Ulimwengu kaizungumzia EU kwa mtizamo na wa kwako ambao nami naafiki ni sahihi: kwamba katika EU kila nchi imebaki na identity yake na mamlaka yake isipokuwa kuna mambo ambayo wamekubaliana kushirikiana kimkataba. Akaendelea kusema Zanzibar inapokuwa na malalamiko yanayohusu muungano haina mwenza wa kumlalamikia maana Tanganyika waliyoungana nayo haipo. Haina mantiki kwa Za nzibar kuilalamikia serikali ya muungano maana si patner wake kwani Zanzibar ni sehemu ya serikali ya muungano.