Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,514
vipi ni yule muuza madawa Rizone amekutuma kuja kutukana au ni wewe mwenyewe Rizone,lilikutach lile heheheee??utashangaa sana una degree lakini unauza madawa ya kulevya,unaonaje ukitumia elimu uliyogharamiwa na hela za walala hoi kuwa mbunifu na mchapa kazi,kwani nani alikudanganya baba yako akiwa Rais ni lazima uwe tajiri??hizo mali zitawatokea matakon,i siku isiyojulikana
mwambie hatudanganyiki! angesomea digrii ya madawa ya kulevya tujue moja