Wanapata tabu kuelewa kuwa ktk kamati kuu yenye watu wanaojiita makini kama Nape na Jakaya ambapo pale strategy nyingi za kuwashughulikia opposition hupangwa..BW.SHIBUDA KATOKA WAPI HUMO NA KAPEWA KUHUTUBIA MLE KAMA NANI NA KATIBA AMA KANUNI IPI YA CCM INARUHUSU?
Wanataka msimamo wa NAPE huku wakikinanga chama chao kuwa kumtumia SHIBUDA kukisambaratisha chadema ni kupoteza dira kwani mbunge huyo ameshaisha kisiasa na huwa anaonekana hamnazo.
Mkuu hebu nitoe tongotongo kidogo na kuongelea mambo ya kugombea urais ni APRM?
ww huna AKILI.
hv hiyo nini sijui mnaiita ndiyo inamruhusu kutangaza nia na kuomba kupigiwa debe???kwa hiyo alikwenda kutangaza nia?alitumwa akaseme kuwa wapinzani hawawezi kuchukua nchi. kiufupi alikwenda kuikashifu chadema na upinza,haiitaji shahada kulitambua hilo. kumtetea mtu bila msingi ni dhambi.