Samahani Snowden, Nimechunguza kwa makini hiyo scan copy yako nimeshangaa kuona kalatasi imejikunja katikati lakini maandishi yamenyooka hayana tofauti na sehemu ambazo kalatasi haijajikunja. Mi ninaisi kama utakuwa unadanganya.
Utaratibu nzuri ni kuweka sheria, then kuelimisha then kuenforce. Hauwezi kuelimisha bila kuwa na mwongozo. Pia kuelimisha kunakuwa kugumu maana baadhi ya wanaoingia na nikhabu bar na wanaotumia kwa kujificha kwenye maovyo yao siyo waislamu. Lengo lao ni kuchafua uislamu.
Tuunge mkono Mahakama...
Siku hizi hata wakristo wanavaa sana wakiwa wanaenda kwenye michepuko ya sehemu ambazo wanaogopa kujulikana. Mtoa mada tunaomba uhamasishe wenzio ili mahakama ya kadhi hitambuliwe na katiba ili tuwa wajibishe watu wenye tabia hiyo.
Mahakama ya kadhi inayobagua baadhi ya sharia haitakiwa kwa waislam cha msingi ni waslam kuimizana jihadi ili tuwe na serikali ya kiislam itakayo ruhusu sharia zote kutumika.
Kwa hiyo njia sahihi ya kudai ardhi yao ni kuua wanaokalia ardhi hiyo? Huna lolote Makafiri nyinyi ni ndugu, Amerika wanaua watu wengi bila hatia nyinyi huwa mnashangilia lakini muislam hakiua watu wawili woote mnavimba kwa hasira.
Usiwe na wasi kabisa cha msingi piga service ya nguvu, badiri oil, filter pia angalia ujazo wa coolant, kapime upepo wa tairi.
Then weka mafuta ya 50k unafika rushoto bila shida yeyote tena bila kushusha vioo (full ac).
Mimi nilitoka nayo DOM hadi Mtwara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.