Recent content by chimbwenje

  1. C

    Taasisi kongwe zinazotumia jina la Tanganyika

    Tanganyika bus stand Mwanza
  2. C

    Baadhi ya wakazi wa Arusha wanalalamikia kitendo cha rais wao kupita bila kuwapungia hata mkono

    hivi wakuu jimbo lisipoichagua ccm basi wanasuswa na viongozi wote wa serikali na maendeleo yanazuiliwa? sasa nikuwakomesha wananchi, kuwanyoosha au kuongeza uadui? demokrasia iko wapi sasa?
  3. C

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    2saidien atakaye pata hotuba full ya Lisu mzee wa vi2 adimu, plz ailete hapa 2ongeze material jaman! Tbc hawatendi haki
  4. C

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Haiwasaidii ki2 mkuu, wamekamatwa pabaya, na serikali 3 haiepukiki
  5. C

    Enzi hizo ukiwa nayo hii unatesa....!!!!

    likiishiwa chaji kelele zake utajitafuta pakujificha, ukilizima lazima kambwa kakimbie acha 2
  6. C

    Kamanda Mawazo ndani ya Msalala-shinyanga sasa hivi.

    hadi kieleweke, bado mwaka mmoja mclale hata kidogo makamanda
  7. C

    Udhaifu wa vyombo vya habari tanzania na uandishi na yaliyotokea kwenye operesheni tokomeza

    kiukweli mkuu umeongea, wengi wa waandishi wa habari ni wa liwaya pendwa za kuwapamba wakubwa na c kuikomboa na kuitetea jamii
  8. C

    KATEKISTA kumsukuma bibi harusi altalen mpaka kuanguka ni sawa?

    Mh! Wabongo wanapenda sana kuishi kukariri c kuelewa, jaribuni kujitahidi kubadilisha kubadili, ukifuatiliwa hata wewe una madhaif yako, ila swala la imani na misingi ya wenzako usilete mzaha.
  9. C

    Wizi mwingine wa vodacom huu hapa

    Huu wizi wandugu karibu kila mtandao, ila sema msimamizi wakuliwa kwa watz hayupo nafikiri kasafiri au amekufa
  10. C

    Vyombo vya habari acheni unafiki

    uzalendo hebu ungetangulia kuanzia mtu mmoja hadi kundi, lakini tukiishi kwa maslahi kamwe hatufiki!
  11. C

    Clouds FM poleni: Yule yule Sugu mliyempa ban leo anahukumu hatma yenu...

    Mi naimani ukiwa msimamia haki nakama umezaliwa na roho ya ukombozi nilazima ipo siku Mungu atainyesha jamii kuwa wewe ni nani! GOOD SUGU
  12. C

    Machinga wa mwanza, marufuku kuonekana barabarani jumatatu

    Wakimaliza waambien waje na Musoma 2lianzishe na 2anzishe taifa le2 lenye urafik na Kenya, pumbavu sana BONGO
  13. C

    Updates: Yanayojiri Mtwara - hali bado tete (Mei 23/24, 2013)

    Uongozi niwakuzaliwa na sikusomea wala kulazimisha, huu mwaka mmoja na nusu uliobakia magamba watazika wa2 wengi sana
  14. C

    Updates: Yanayojiri Mtwara - hali bado tete (Mei 23/24, 2013)

    Hebu mkuu mwambie atujuze na maeneo mengine kama Mdenga, Kianga, Majengo nk. Pamoja nahayo ina maana mabomu yanapigwa bila utaratibu tu? Haki haizuiliwi kwa mtutu wa bunduki
Back
Top Bottom