chukulia lile tukio la boston-marekani kama sikosei,ni watu 3 waliuawa lakini msako wake ulivunja rekord ya dunia,sawa hatuwezi kufikia kama usa lakini jitihada zinaweza kufanyika kama wakati ule walivyouawa polisi watatu na mbwa 1 pale dar miaka ya nyuma kipindi cha mahita,jitihada zilionekana na walifanikiwa kuwakamata na kuwaua wahusika wote......
Swali katika hili tutaona jitihada kama za wakati ule na wakati alipouawa barlow,japo hizo jithada hatukuziona wakati wa mlipuko pale olasit-kanisani....
Yangu macho,naogopa kucha zangu,kwaherini
tukitumia ozoefu wa nyuma, kitachotokea ni (1) tume itaundwa na rais au waziri wa mambo ya ndani. (2) atakamatwa mtu kisingizio waonekane wanajua (3) watu watasahau.
napendekeza tuondoe uoga mioyoni. hawa watu wawili tuwafukuze kazi kwa nguvu ya umma hili likiwa short term solution.