Recent content by chimbulumbulu

  1. C

    Fuel Injectors (nozeli) zinasafishwa vipi?

    Ndio inawezekana ila kwa zile zilizoziba na kama imekufa haiwezekani
  2. C

    Sudan yaagiza shule za makanisa kufunguliwa Jumapili

    Ukisema hivyo unakosea, maana mbona waislamu hao hao wa Zanzibar (TZ) wanaenda makazini na mashuleni siku ya Ijumaa, tena hapa hapa Tanzania, na siku ya jumapili wakristo wa Tanzania hawaendi, je nao huo sio uvumilivu? Au unataka kuvumbua yaliyojificha, hebu achana nazo hizo habari ndugu, wote...
  3. C

    Wadau naomba msaada whatsapp jamming

    kwa sasa sitoweza kuripoti customer service wala polisi coz nipo nje ya nchi ndio maana nikaomba msaada kama itawezekana
  4. C

    Wadau naomba msaada whatsapp jamming

    Naomba msaada namba yangu ya tigo nimejiunga na whatsapp, lakini kuna mtu kwa sasa naye anaitumia na kwangu imefungwa kabisa, inasema inatumiwa na simu nyingine. Mbaya zaidi anaitumiwa kwa udanganyifu na wizi,anawatumia watu sms za kuomba pesa na watu wanampatia,nimelikundua siku nne zilizopita...
  5. C

    Boti isiyotumia nahodha yavumbuliwa Tanzania

    Ni kweli kabisa anachosema SHIEKA.Na hata hivyo tatizo kubwa liko kwa viongoz wetu wa nchi, ambao wanasaini mikataba bila kuangalia athari za baadae. MFANO nchi yetu inashida ya kununua ndege, matharani za kivita za kisasa,ambazo lbd zinagharimu dola $90000000000 na ss tuna dola $40000000000...
  6. C

    Msaada lg unlock code

    Namba msaada wa LG unlock code MODEL..SKU 65220 Made in Korea (at&t) IMEI-012620001625392 haisomi network za hapa tz
  7. C

    Tz tunatumia mfumo gani wa matangazo ya tv?

    kwahiyo ukichukua ya NTSC haitofanya kazi?
  8. C

    Mobile unlock

    mkuu nina yangu blackberry Hungary lakin setting zake zimepotea haoneshi phonebook(contact), na sijui njinsi ya kuli boot kama zingine
  9. C

    Jinsi ya kuondoa ujumbe wa "copy of window is not genuine" kwenye microsoft windows

    na kama utashindwa na hiyo tools ya WGA Remover 1.3. Download hii nyingine Windows 7 Loader na ukishindwa sema
  10. C

    Kutoka Kibanda Maiti - Zanzibar

    kwani watanganyika wanafaidika na nini kwenye huu Muungano, inaonekana kama hawataki kuiachia zanzibar, kunanai!
  11. C

    Kutoka Kibanda Maiti - Zanzibar

    si ndio hapo kibanda maiti! au wapi tena.
  12. C

    Mwanamke kutofika kileleni kosa la nani???

    hapana cmwambii kabisa huwa naona aibu,je nisahihi ninavyofanya?
  13. C

    Tabia yako mbaya wala hujanitongoza!!

    wengine wana pepo la ngono ujue
Back
Top Bottom