Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Habari zenu waungwana.
Napenda kujua Tz tunatumia mfumo gani wa matangazo ya tv kama PAL, NTSC etc.
Tafadhali naombeni msaada kwani kuna Smart Tv moja nataka kuchukua lakini wameniambia kuwa inatumia mfumo wa NTSC tu , hivyo niangalie kama system hiyo inafanyika huku kwetu kabla ya kuchukua.
Ahsante kwa mawazo na misaada.
Napenda kujua Tz tunatumia mfumo gani wa matangazo ya tv kama PAL, NTSC etc.
Tafadhali naombeni msaada kwani kuna Smart Tv moja nataka kuchukua lakini wameniambia kuwa inatumia mfumo wa NTSC tu , hivyo niangalie kama system hiyo inafanyika huku kwetu kabla ya kuchukua.
Ahsante kwa mawazo na misaada.