Recent content by chilonge

  1. chilonge

    FT: Argentina 3-2 Egypt | World Cup 2026 | Mercedes-Benz Stadium | 7 Julai, 2026 | 1:00 Usiku | Egypt yaaga mashindano

    Kuna changamoto kubwa kwa timu za Afrika hususani kuanzia dakika 80. Nafikiri wengi wanawaza kushangilia kabla ya kipyenga cha mwisho.
  2. chilonge

    HOJA Ipi hatma ya fedha za Basket Fund(HSBF) kwa vituo vya kutolea huduma za Afya?

    Mnashauriwa kupambana na User fee. Pesa za wafadhili zinakwenda kukata. Wekeni mikakati yenu kupitia User fee zaidi kuliko HSBF. Itakuwa changamoto kwasasa ila hakuna budi kujiandaa na hilo.
  3. chilonge

    Fainali ya CRDB shirikisho kupelekwa Zanzibar ni dharau kwa mashabiki wa Simba

    Hizo taratibu zimewekwa ili kujustify 'ujuha' wa hao viongozi. Mbona hatujawahi kuona timu za Zanzibar zikipangiwa mechi huku Tanganyika? Hili jambo linachefua kupita maelezo.
  4. chilonge

    Zamani msichana akiolewa alikuwa anaumwa wiki nzima Anaamka anachechemea. Siku hizi kesho yake anaamkia kazini. Bado natafuta tatizo liko wapi?

    Unakamia kujaza mto?! Zamani si sasa.! Wengi wao hakuna walichobakisha isipokuwa kustiriana tu.! Sio wanaume pekee tunaotakiwa kukamia, hata hao nao wanatakiwa wajitunze, wasimalize kil kitu kabla ya ndoa.
  5. chilonge

    DUNIA IMEBADILIKA KUTEGEMEA MISAADA KUMEPITWA NA WAKATI WAZIRI MKUU MWIGURU NCHEMBA AMEONGEA HAYO AKIWA ZIARANI..

    Yeye akiwa Waziri wa Fedha alifanya nini kuhakikisha nchi inakwenda bila misaada?
  6. chilonge

    FT: Azam FC 3-2 Yanga SC | Kombe la shirikisho CRDB Bank | CCM Kirumba | 21 Juni, 2026 | Azam FC watinga Fainali

    Sio utoto, timu hakuna mule. Kazi yao kukamia tu. Bila shaka Ibenge amebakia sababu ya dau alilopewa Mali ni dogo, otherwise nae angesepa
  7. chilonge

    FT: Azam FC 3-2 Yanga SC | Kombe la shirikisho CRDB Bank | CCM Kirumba | 21 Juni, 2026 | Azam FC watinga Fainali

    Kama mchezaji anataka pesa aende Azam, ila kama anahitaji kukua kimpira na kuwa katika majukwaa ya kimataifa, Azam sio sehemu sahihi. I feel pity for Feisal Salum.
  8. chilonge

    DAWASA sasa rasmi Msumi, wakazi 300 kuunganishiwa huduma

    Huduma yenu ya maji ni mbovu hususani eneo la Mbezi Msakuzi. Yes, mnajitahidi kutanua mtandao wa maji, lakini ni muhimu kujikita kutoa huduma nzuri na endelevu kuliko kuwa na mtandao mkubwa bila ya uwepo wa maji.
  9. chilonge

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kama akiamua kuachia anaachia tu. Wala haihusiani na mshahara 😃
  10. chilonge

    Ni aibu kwa taifa Profesa Kabudi kutoa majibu ya ovyo namna hii mbele ya mwandishi wa BBC

    Sasa masta unataka ajibu nini?! Kuna mambo hayajibiki kirahisi. Hakuna kitu kigumu kama kusema uongo.
  11. chilonge

    PostGE2025 Salum Mwalimu: Jaji Chande ametuonyesha viwango vya Kimataifa, Wote kwa pamoja tuseme 'Ever again kwa yaliyotokea Oktoba

    Hapo upinzani ndio unaponiacha hoi. Ilikuwaje kuwaje kumuamini mtu kama Mwalimu mpaka kumpa nafasi kubwa Chamani?! Hivi vyama hakuna vetting ama?!
  12. chilonge

    PostGE2025 Nani alitoa amri ya “shoot and kill”?

    Je, waliouawa wote waliandamana?!
Back
Top Bottom