Katika nchi ambayo makampuni mengi hayajali haki ya mteja basi Tzii inaongoza. Vitu vya ajabu kabisa yani.
Kwenye usafiri pia, abiria ukichelewa ruksa basi kukuacha, ila basi linaweza chelewa zaidi ya 30 minutes na hakuna fidia kwa abiria kucheleweshwa.
Mambo yetu kivyetu vyetu..!
Nafikiri kuna shida kwa Mangungu.
Kwa Katiba ya Simba, viongozi wa wanachama hawawezi kuidhinisha majina ya wajumbe wa bodi ya wadhamini.
Inawezekana yeye ndio asiopenda utulivu ndani ya Simba. Huyo Try Again kila mwaka yeye, kabakisha nini Simba?! Bila shaka kuna zengwe wanalisuka.
Usipende huruma. Rudia mtihani wa Hisabati ili uwe na vigezo.
By the way, kwasasa uzalishaji wa Madaktari umezidi kiwango hitajika.
Hivyo, ni ngumu vigezo kubadilishwa ili 'wachache' mnufaike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.