Jiandae kurudishwa Halmashauri yako ya zamani.
Mnamo mwezi Novemba 2025, TAMISEMI walitoa 'grace period' ya kushughulikia hayo masuala mpaka Disemba 2025.
Kama mpaka sasa bado, kaa standby.
Hata umkaze vizuri na kumfunga kamba juu, Wanawake kawaida hawajui wanachokitaka.
Ni kuomba mungu na kutokumchunguza tu. Otherwise, wanaume wengi tunagongewa na sisi tunawagongea. Tit for tat
Akisifiwa ana kucha nzuri tayari kaliwa. Tena makazini kuna 'ufirauni' kweli kweli.!
Yanga imefeli kwenye madirisha ya usajili takribani mawili.
Huu ni ukweli ambao hausemwi, ama ulikuwa unafichwa kwenye kichaka cha matokeo na 'Ubingwa'.
Ukiangalia kwa karibu, wachezaji wanaopafomu ni wale ambao walisajiliwa madirisha mawili nyuma na sio hawa wa sasa.
Ni muhimu wakae chini na...
Angalau unaona hakuna jitihada zinazofanyika nje ya uwanja. Yanabaki matokeo ya uwanjani tu.
Singida akifungwa na Yanga bila pilika za nje ya uwanja wala hakuna shida. Tatizo linakuja lazima kuwe na matukio tata ya kuwarahisishia Yanga kiwanjani.
Last year, walipumzisha wachezaji wa kikosi...
Hapo hakuna cha kuficha. Singida ipo kwaajili ya kuipatia Yanga point 6 na sio kushindania ubingwa.
This time around, wamezuga kufungia wachezaji wake wa 2 kwa makosa mbalimbali, ili kupunguza ushindani wa mechi na Yanga, baada ya hapo wamewafungulia kwa kujua mpinzani anaefuata ni Simba...
Sasa unafikiri rectal probe ya ultrasound na kidole bora nini?!
Uzuri hayo yote yanafanyika kwa faida ya mgonjwa.
Kikubwa ni kuomba mungu akuepushe na maradhi, ila ukitingwa, hicho kidole wewe ndio utakililia ili upate suluhisho la tatizo lako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.