Mnashauriwa kupambana na User fee. Pesa za wafadhili zinakwenda kukata.
Wekeni mikakati yenu kupitia User fee zaidi kuliko HSBF.
Itakuwa changamoto kwasasa ila hakuna budi kujiandaa na hilo.
Hizo taratibu zimewekwa ili kujustify 'ujuha' wa hao viongozi. Mbona hatujawahi kuona timu za Zanzibar zikipangiwa mechi huku Tanganyika? Hili jambo linachefua kupita maelezo.
Unakamia kujaza mto?! Zamani si sasa.! Wengi wao hakuna walichobakisha isipokuwa kustiriana tu.!
Sio wanaume pekee tunaotakiwa kukamia, hata hao nao wanatakiwa wajitunze, wasimalize kil kitu kabla ya ndoa.
Kama mchezaji anataka pesa aende Azam, ila kama anahitaji kukua kimpira na kuwa katika majukwaa ya kimataifa, Azam sio sehemu sahihi.
I feel pity for Feisal Salum.
Huduma yenu ya maji ni mbovu hususani eneo la Mbezi Msakuzi.
Yes, mnajitahidi kutanua mtandao wa maji, lakini ni muhimu kujikita kutoa huduma nzuri na endelevu kuliko kuwa na mtandao mkubwa bila ya uwepo wa maji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.