Recent content by chilonge

  1. chilonge

    KERO Baadhi ya Watumishi tunaohamishwa Halmashauri tunapata changamoto ya kutobadilishiwa mishahara

    Jiandae kurudishwa Halmashauri yako ya zamani. Mnamo mwezi Novemba 2025, TAMISEMI walitoa 'grace period' ya kushughulikia hayo masuala mpaka Disemba 2025. Kama mpaka sasa bado, kaa standby.
  2. chilonge

    Mwanamke apewe nini ili atulie ona huyu anapewa zaidi ya 80M kila week na kununuliwa nyumba ila bado kachepuka

    Hata umkaze vizuri na kumfunga kamba juu, Wanawake kawaida hawajui wanachokitaka. Ni kuomba mungu na kutokumchunguza tu. Otherwise, wanaume wengi tunagongewa na sisi tunawagongea. Tit for tat Akisifiwa ana kucha nzuri tayari kaliwa. Tena makazini kuna 'ufirauni' kweli kweli.!
  3. chilonge

    Sikukuu ya mwaka huu Forodhani Zanzibar imepoa sana

    Shekeli masta.! Makuta hakuna mfukoni, ni kujipa moyo tu.
  4. chilonge

    Ushauri Kocha wa Yanga hana sifa atafutwe kocha mwingine

    Yanga imefeli kwenye madirisha ya usajili takribani mawili. Huu ni ukweli ambao hausemwi, ama ulikuwa unafichwa kwenye kichaka cha matokeo na 'Ubingwa'. Ukiangalia kwa karibu, wachezaji wanaopafomu ni wale ambao walisajiliwa madirisha mawili nyuma na sio hawa wa sasa. Ni muhimu wakae chini na...
  5. chilonge

    Oktoba 29, 2025 Vyombo vyote vya ulinzi vilikuwa vinapokea maagizo ya Majaliwa

    Civics unaijua kweli ndugu muandish?!
  6. chilonge

    Msaada wa tiba ya tatizo la kushindwa kubana mkojo

    Bila shaka ni URINE INCONTINENCE. Kamuone Urologist atawapa msaada wa tatizo lenu.
  7. chilonge

    Hizi taasisi zipo wizara gani?

    Uchukuzi kwa sasa inajitegemea ambayo yupo Prof. Mbarawa na Mawasiliano yupo Kairuki
  8. chilonge

    Je, Mechi za Yanga na Singida Black Stars zina upangaji wa matokeo?

    Angalau unaona hakuna jitihada zinazofanyika nje ya uwanja. Yanabaki matokeo ya uwanjani tu. Singida akifungwa na Yanga bila pilika za nje ya uwanja wala hakuna shida. Tatizo linakuja lazima kuwe na matukio tata ya kuwarahisishia Yanga kiwanjani. Last year, walipumzisha wachezaji wa kikosi...
  9. chilonge

    Je, Mechi za Yanga na Singida Black Stars zina upangaji wa matokeo?

    Hapo hakuna cha kuficha. Singida ipo kwaajili ya kuipatia Yanga point 6 na sio kushindania ubingwa. This time around, wamezuga kufungia wachezaji wake wa 2 kwa makosa mbalimbali, ili kupunguza ushindani wa mechi na Yanga, baada ya hapo wamewafungulia kwa kujua mpinzani anaefuata ni Simba...
  10. chilonge

    Ni watu maarufu wanasilimu kwa kasi bongo au watu kusilimu huambatana na kampeni kubwa ya matangazo?

    Snura alikuwa Muislamu, sema ndo dunia ikamlevya. Hao wengine ndio wamesilimu.
  11. chilonge

    Uko tayari kufanyiwa kipimo cha afya kupitia njia yako ya haja kubwa (anal canal)?

    Sasa unafikiri rectal probe ya ultrasound na kidole bora nini?! Uzuri hayo yote yanafanyika kwa faida ya mgonjwa. Kikubwa ni kuomba mungu akuepushe na maradhi, ila ukitingwa, hicho kidole wewe ndio utakililia ili upate suluhisho la tatizo lako.
  12. chilonge

    Majambazi wamemuua rafiki yangu kikatili sana. Imeniuma mno

    Na yeye ali'risk' sana. Kulikuwa na haja ya kutoka Dar-Kilimanjaro kwa pikipiki?
Back
Top Bottom