Recent content by chilonge

  1. chilonge

    JamiiForums Tanzania Hili la kukosekana kwa huduma za kibenki NMB kwa zaidi ya saa 48 ni mateso kwa wateja

    Katika nchi ambayo makampuni mengi hayajali haki ya mteja basi Tzii inaongoza. Vitu vya ajabu kabisa yani. Kwenye usafiri pia, abiria ukichelewa ruksa basi kukuacha, ila basi linaweza chelewa zaidi ya 30 minutes na hakuna fidia kwa abiria kucheleweshwa. Mambo yetu kivyetu vyetu..!
  2. chilonge

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea ndani ya Club ya Simba?

    Wadhamini wanatakiwa wapitishwe na mkutano mkuu, huo mkutano mkuu umefanyika lini?
  3. chilonge

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea ndani ya Club ya Simba?

    Nafikiri kuna shida kwa Mangungu. Kwa Katiba ya Simba, viongozi wa wanachama hawawezi kuidhinisha majina ya wajumbe wa bodi ya wadhamini. Inawezekana yeye ndio asiopenda utulivu ndani ya Simba. Huyo Try Again kila mwaka yeye, kabakisha nini Simba?! Bila shaka kuna zengwe wanalisuka.
  4. chilonge

    JamiiForums Tanzania Nadhani Jay Ruty anavuta mpunga mrefu kutoka Diadora kupitia Simba. Tuamke

    Ili iwe nini? Bora Jayrutty anatoa billions of money, upande wa pili wanapata 1,200/= per jersey, mbona hamuhoji?
  5. chilonge

    JamiiForums Tanzania Simba tumepigwa. Bus jipya la Simba (Irriza) limeharibika njiani.

    Hili sio Irizar. Hili ni basi la Jayrutty kwaajili ya usambazaji wa jezi.
  6. chilonge

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Ukisikia tatizo la nguzu za kiume, wewe kwa tafsiri yako unaelewaje?
  7. chilonge

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali irekebishe Kanuni hizi, zinatuzuia wenye Diploma za Medicine kusomea Degree

    Usipende huruma. Rudia mtihani wa Hisabati ili uwe na vigezo. By the way, kwasasa uzalishaji wa Madaktari umezidi kiwango hitajika. Hivyo, ni ngumu vigezo kubadilishwa ili 'wachache' mnufaike.
  8. chilonge

    JamiiForums Tanzania Niffer uvumilivu umemshinda kaacha kuvaa ushungi

    Sahihi Masta..!
  9. chilonge

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Alitakiwa aanze upya mchakato kwa kucreate vacancy
  10. chilonge

    JamiiForums Tanzania Niffer uvumilivu umemshinda kaacha kuvaa ushungi

    Sahihi Masta. Wazee wetu hapo ndio walipotuzidi. Walifahamu nani wa kuoa na nani wa kupunguzia haja.
  11. chilonge

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Kila la Kheri. Kuna colleague alifanya hivyo ikakwamia Utumishi. Kikubwa endelea kupiga sala Masta.
  12. chilonge

    JamiiForums Tanzania Niffer uvumilivu umemshinda kaacha kuvaa ushungi

    Hii manzi ya kucharaza 'bakora' na kupita kushoto. Ana ego ya hatari. Huwezi mfuga ndani huyu.
  13. chilonge

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Ulitengeneza Vacancy?! Yes, Utumishi wanaweza kupiga chini ombi lako la Uhamisho. Tegemea majibu yoyote. Usiache kuomba Mungu.
  14. chilonge

    JamiiForums Tanzania Maisha ya madaktari wa Kitanzania na umaskini wao na kuishia katika kupata heart attack

    MAT machawa wengi kule. Hakuna kitu!
Back
Top Bottom