Recent content by chilonge

  1. chilonge

    JamiiForums Tanzania Ni aibu kwa taifa Profesa Kabudi kutoa majibu ya ovyo namna hii mbele ya mwandishi wa BBC

    Sasa masta unataka ajibu nini?! Kuna mambo hayajibiki kirahisi. Hakuna kitu kigumu kama kusema uongo.
  2. chilonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Salum Mwalimu: Jaji Chande ametuonyesha viwango vya Kimataifa, Wote kwa pamoja tuseme 'Ever again kwa yaliyotokea Oktoba

    Hapo upinzani ndio unaponiacha hoi. Ilikuwaje kuwaje kumuamini mtu kama Mwalimu mpaka kumpa nafasi kubwa Chamani?! Hivi vyama hakuna vetting ama?!
  3. chilonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nani alitoa amri ya “shoot and kill”?

    Je, waliouawa wote waliandamana?!
  4. chilonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nyalandu: Serikali ilienda kulinda watu, tuna ushahidi waandamanaji walikuwa na bunduki na mabomu

    Swali gumu ni hili 'who orders to kill?!' hapo anko nyalandu alikuwa anapiga porojo tu..!
  5. chilonge

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Nyalandu: Serikali ilienda kulinda watu, tuna ushahidi waandamanaji walikuwa na bunduki na mabomu

    Hamna anachojibu. Swali lipo very straight yeye anapiga siasa.
  6. chilonge

    JamiiForums Tanzania KERO Mwalimu anakatwa na CWT Tsh. 44, 320 na mwingine mwenye daraja hilo hilo anakatwa Tsh. 5,000. Viongozi wetu wa serikali, CWT ni mwiba kwa walimu

    Mimi sio mwalimu ndugu mchangiaji. Sio kila atakaechangia ni mwalimu. Ni kitu ambacho kipo na kinafahamika.
  7. chilonge

    JamiiForums Tanzania KERO Mwalimu anakatwa na CWT Tsh. 44, 320 na mwingine mwenye daraja hilo hilo anakatwa Tsh. 5,000. Viongozi wetu wa serikali, CWT ni mwiba kwa walimu

    Yeye anaongelea makato kutoka vyama viwili tofauti. Kimoja ni makato makubwa na kingine makato kidogo. Haongelei ishu ya kufanya biashara.
  8. chilonge

    JamiiForums Tanzania Basi la Kidia ONE lakutwa na chatu ndani likiwa boda ya Namanga

    Hawa ni askari wa nchi gani?
  9. chilonge

    JamiiForums Tanzania Yanga tuwashtaki na Aziz Ki na Shadrack Boka kwa kuichafua team yetu kuhusu matches zetu

    Nakubaliana na wewe na hakuna anaebisha hizo changamoto za wachambuzi unazosema. Lakini, Oruma ana point. Ukikaa na 'watu' wa mpira utaelewa kuhusu hizo tuhuma. Kitu ambacho hakijazoeleka ni kuongelewa kwenye vyombo vya habari kama yeye alivyosema. Kwasababu Yanga wanatetea 'brand' yao, waende...
  10. chilonge

    JamiiForums Tanzania Yanga tuwashtaki na Aziz Ki na Shadrack Boka kwa kuichafua team yetu kuhusu matches zetu

    Hawana ubavu huo wa kwenda Mahakamani. Ukiwa mtu wa mpira unaelewa sana hiyo michezo ya kununua mechi. Mambo ni mengi sana kwa soka letu. Bad lucky, kama watu wa kawaida wanajua hiyo michezo, sidhani kama viongozi wa mpira hawajui, ni vile 'funika kombe mwanaharamu apite'. Hujiulizi kwanini...
  11. chilonge

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Huyu sio mwenye Bachelor kweli?!
  12. chilonge

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi mzazi kuuza nyumba au mali pasipo kuwaambia watoto wake?

    Kama alijenga na kuzitafuta mali kwa jasho lake ni sahihi kabisa. Jenga ya kwako ili usubiri ushauri wa watoto au ndugu zako.
  13. chilonge

    JamiiForums Tanzania Lucy Mwakyembe: Wafanyakazi washauriwe kujiunga kwenye vyama vya wafanyakazi wanavyotaka, wasiungwe bila ridhaa yao

    Hawawezi kumuelewa. Kuna watu wanafaidika na ishu ya kulazimisha watumishi wawe katika vyama fulani, so huo ni mnyororo wa ulaji. Ni ngumu kulikomesha.
  14. chilonge

    JamiiForums Tanzania Esmaeil Qa'ani, kamanda wa Kikosi cha Quds awasili Iraq kwa ziara rasmi

    Take it, kila kitu kimekuwa framed kiwe kama kilivyo.! Yaani wewe unatakiwa uelewe hivyo na si vinginevyo.!
  15. chilonge

    JamiiForums Tanzania Ni kweli filamu ya Ottoman inaoneshwa Azam tv ili kuudhalilisha ukristo?

    Unataka kusema na movie za Hollywood zinaudhalilisha Uislamu kwenye scene zao nyingi zinazoonesha wao ni magaidi?! Furahia mapigano, sio kila kitu uwe na deep thinking mkuu..!
Back
Top Bottom