Nakubaliana na wewe na hakuna anaebisha hizo changamoto za wachambuzi unazosema.
Lakini, Oruma ana point.
Ukikaa na 'watu' wa mpira utaelewa kuhusu hizo tuhuma. Kitu ambacho hakijazoeleka ni kuongelewa kwenye vyombo vya habari kama yeye alivyosema.
Kwasababu Yanga wanatetea 'brand' yao, waende...
Hawana ubavu huo wa kwenda Mahakamani. Ukiwa mtu wa mpira unaelewa sana hiyo michezo ya kununua mechi.
Mambo ni mengi sana kwa soka letu. Bad lucky, kama watu wa kawaida wanajua hiyo michezo, sidhani kama viongozi wa mpira hawajui, ni vile 'funika kombe mwanaharamu apite'.
Hujiulizi kwanini...
Hawawezi kumuelewa. Kuna watu wanafaidika na ishu ya kulazimisha watumishi wawe katika vyama fulani, so huo ni mnyororo wa ulaji. Ni ngumu kulikomesha.
Unataka kusema na movie za Hollywood zinaudhalilisha Uislamu kwenye scene zao nyingi zinazoonesha wao ni magaidi?!
Furahia mapigano, sio kila kitu uwe na deep thinking mkuu..!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.