Somo zuri.!
Point #7, nafikiri jinsia ya kiume ni zaidi kwa wenzetu, ila kwa uzoefu mfupi niliouona, jinsia Ke aisee imeathirika zaidi. Katika wanawake 5 wenye umri kuanzia 59yrs wanaokuja na lalamiko la kutoka damu kwenye njia ya mkojo, 3-4 basi ni saratani ya kibofu ukifanya kipimo.
Nafikiri shida haikuwa sub. Tatizo lilianzia kwenye uchaguzi wa wachezaji walioanza. Hakukuwa na haja ya kuanza na strikers 2 pamoja na Aziz Ki ambao wote ni wazururaji uwanjani.
Kuna takataka kama Makgalwa, Mpanzu, Kagoma, Morice Abraham. Hizi zinatakiwa ziondolewe pale Simba. Tuone pia kuhusu Doumbia, ikibidi nae safari inamhusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.