Recent content by chilonge

  1. chilonge

    JamiiForums Tanzania Mrejesho,mtoto wangu wakiume umri miaka 10 anakojoa mkojo uliochanganyikana na damu

    Mrudishe kwa daktari. Kuna haja ya kufanyiwa vipimo zaidi kuona nini kinaendelea. Daktari atafahamu vyema nini cha kumfanyia
  2. chilonge

    JamiiForums Tanzania FT: Young Africans SC 1-0 Geita Gold FC | NBC Premier league | KMC Complex | 15.09.2026

    Labda afunge mlango.
  3. chilonge

    JamiiForums Tanzania FT: Young Africans SC 1-0 Geita Gold FC | NBC Premier league | KMC Complex | 15.09.2026

    Hawa Geita ni 'Madenge' wanaocheza ligi kuu 😀
  4. chilonge

    JamiiForums Tanzania FT: Young Africans SC 1-0 Geita Gold FC | NBC Premier league | KMC Complex | 15.09.2026

    Sele hakuna mchezaji mule. Tulisema humu. Kasajiliwa kwa siasa za kukomoana.
  5. chilonge

    JamiiForums Tanzania FT | Simba SC 6-1 Mighty Wanderers (Agg: 7-1) | CCL - Simba Kafuzu Round 1 kwa kishindo | Uhuru Stadium | 13.9.2026

    Kila la Kheri Simba SC, Mnyama mkali wa mwituni. Nguvu Moja.!
  6. chilonge

    JamiiForums Tanzania Saratani ya kibofu Cha mkojo(bladder cancer)

    Somo zuri.! Point #7, nafikiri jinsia ya kiume ni zaidi kwa wenzetu, ila kwa uzoefu mfupi niliouona, jinsia Ke aisee imeathirika zaidi. Katika wanawake 5 wenye umri kuanzia 59yrs wanaokuja na lalamiko la kutoka damu kwenye njia ya mkojo, 3-4 basi ni saratani ya kibofu ukifanya kipimo.
  7. chilonge

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Of course, Dabi ina mambo mengi sana mbali na uwanjani.!
  8. chilonge

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Mzee naona unanyoosha na 'Rula' kabisa.! Wazee wapo unga unga sana. Kwa propaganda ni A+
  9. chilonge

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Hata kujaza viwanja, imekuwa changamoto sana.! Siku hizi tiketi za bure zinatolewa ila kimya kimya sana.!
  10. chilonge

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Gaborone apigwa ngumi: TFF Ichukue Hatua Kulinda Taswira ya Tanzania

    Huu ni zaidi ya ushamba kwenye football.!
  11. chilonge

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Ukilinganisha na Yanga wenyewe kwenye NBC 😁
  12. chilonge

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Nafikiri shida haikuwa sub. Tatizo lilianzia kwenye uchaguzi wa wachezaji walioanza. Hakukuwa na haja ya kuanza na strikers 2 pamoja na Aziz Ki ambao wote ni wazururaji uwanjani.
  13. chilonge

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 2-1 Gaborone Utd | CAFCL - Kufuzu Round 1 | Azam Complex | AGG 3-2

    Yanga unga sana.! Wana kazi kubwa ya kufanya kwenye kiwanja cha mazoezi. Ukiondoa propaganda zao za mitandaoni, hakuna cha maana walichocheza.
  14. chilonge

    JamiiForums Tanzania KCMC ikaangoni

    Huwa kuna Intraoperative diagnosis.! Inawezekana kilichokutwa baada ya upasuaji ndo imepelekea atolewe kizazi.
  15. chilonge

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Kuna takataka kama Makgalwa, Mpanzu, Kagoma, Morice Abraham. Hizi zinatakiwa ziondolewe pale Simba. Tuone pia kuhusu Doumbia, ikibidi nae safari inamhusu
Back
Top Bottom