Recent content by Chilamwina

  1. C

    Mchele super 2800

    Mchele super kabisa Bei:2800 Location: chamazi jirani na uwanja wa azam complex 0682528220 Delivery ipo
  2. C

    Nauza mchele kwa bei rafiki

    Broo nitoke chamazi hadi kimara nilete kilo 2 kweli, wewe nunua tu hukohuko
  3. C

    Nauza mchele kwa bei rafiki

    Baada ya kujidunduliza na kujinyima nyima nikapata kamtaji ka kupata nusu tani ya mchele Nauza mchele kwa bei ya 1600 ,1800,2400 na 2800 Flem yangu ipo chamazi jirani na uwanja wa azam complex,pia nafanya delivery kwa wale ambao watakosa muda wa kufika ninapouzia Namba yangu ni 0682528220.
  4. C

    Majina wanaopewa wanaume wasiofanyiwa tohara kwenye makabila mbalimbali nchini

    Kwa kikaguru wanaitwa MURAJONI. hili neno linajumuisha dharau ndani yake kwa mtu alietahiriwa na ukamuita MURAJONI anaweza kukufungulia kesi mahakamani au akakutupia majini
  5. C

    Kipi ni Faraja yako kubwa Simu, Mke, Mume, Girlfriend, Boyfriend, JF, Pombe, Wazazi au Marafiki?

    POMBE POMBE POMBE inaniharibu kiafya,inantia hasara,inanichafua Kwa jamii yangu Lakini naipenda
  6. C

    Nilivyoparamia mtumbwi wa vibwengo!

    Kumbe kuna wanaume wenzangu bado mnapenda Hadi mnavurugwa kiasi hiki
  7. C

    Umepanga kuzaa watoto wangapi?

    Nilipanga niwe na watano,Sasa Nina wawili
  8. C

    Natafuta mwenza wa Maisha

    Mimi ni kijana wa kiume 29 yrs natafuta mwenza wa Maisha (mpenzi) mwenye vigezo vifuatavyo 1. Umri 22+ 2. Dini (Christian) mcha Mungu 3. Location - Tanzania Elimu sio kigezo kwangu kwa maana mimi nataka mke ambaye ni wife material na sio Professor. Kwa ambaye yuko interested ani PM na...
Back
Top Bottom