Recent content by chiko mkunungu

  1. chiko mkunungu

    Tukutane hapa watoto tuliokuzwa na Ma-Single Mothers

    Hata kama wakijua kunakibaya kipi apo ambacho mm nimeongea nimemtukana mtu si nimeshare maisha yangu mm niliyopitia au kuandika kwamba mm ni mtumishi wa Jiwiii ndo shida mkuu sheria za jeshi nazijua kusema mm askari co kosa kwny mtandao labda ningepiga picha na nguo za kazi nika zipost humu jf...
  2. chiko mkunungu

    Tukutane hapa watoto tuliokuzwa na Ma-Single Mothers

    C rahisi mkuu kama ww unavyozani...
  3. chiko mkunungu

    Msanii AY afunga ndoa na mpenzi wake huko Rwanda

    Mke wa Ay kanana na bby mama wangu kasoro rangi tu my baby mama yy ni white ila mke wa Ay ni maji ya kunde.
  4. chiko mkunungu

    Tukutane hapa watoto tuliokuzwa na Ma-Single Mothers

    Mimi nililelewa na Single dady,mshua alinilea kisela sela sana kwetu tulizaliwa 10 mm ndo wa mwisho kwa dingi ila kwa mama wa kwanza dingi alikuwa na wake wa nne kwa mama yangu nilikuwa peke yangu ila badae mama alipata mtoto mwingine ambae ci wa baba alipata mimba baba akiwa kikazi Urusi...
  5. chiko mkunungu

    Syria watungua ndege ya Israel

    Inasikitisha kwa kweli wateuli ambao hawana utu.
  6. chiko mkunungu

    Natoa pole kwa mapacha walioungana, Consolatha na Maria

    Hatakuja umbuka vibaya sana yule dada.
  7. chiko mkunungu

    Mtoto wa kike anahaha mpaka namwonea huruma

    Mdau story yako imenikumbusha mbali sana kipindi iko nimetoka likizo Songea job naelekea Home Dar kumcheki bi mkubwa sasa wakati niko njiani mshikaji wangu Frenk akanipigia cm oi niaje chiko nikamwambia frsh. Akasema uko wapi??nikamwambia nipo njiani narudi lkzo home dah akasema oi pitia Njombe...
  8. chiko mkunungu

    Huwa mnakumbuka nini enyi wanaume

    Mbn hata nyie wanawake huwa mnarudi sana mfano mm mwanamke wangu aliniacha eti kisa tuu nimenda jeshini bada ya miaka mitatu kuwa officer wa Jeshi now ananisumbua virungu kibao mara oooh cjui cna ajira cjui chiko nikope laki 3 nitakurudishia cjui Chiko nataka nisome law school unanishaurije cjui...
  9. chiko mkunungu

    Mume wangu lini nimekunyima utamu?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ebhana eeeh nyeto hatari duu
  10. chiko mkunungu

    Kupima ni ishu nyie

    Sisi Wanajeshi tunaongoza kwa kupima HIV...
  11. chiko mkunungu

    CHAPUTA(Chama cha Punyeto Tanzania)

    Hahahahaha c aina madhara ulisema wewe eeeh umekutwa na nini na bashiri utakuwa umekutwa na mambo haya. 1)Kurunge alidindi. 2)Kama una dinda bac ukipiga bao moja tuu tena unachukua dk 1 au 2 bac kurudia bao la pili mpaka kesho yake. 3)Utakuwa umepata demu anayependa sana sex ila ww uwezo wa...
  12. chiko mkunungu

    Hapa kuna skills za hawa wazee wetu Màradona Na Pele

    Jf kila mtu ni mtu mjuaji,amefanikiwa,ana nyumba na magari,kaenda age wengi kila utakae muuliza ni kuanzia 35 kwenda juu umri,kila member ana elimu kubwa kuanzia degree au masters,Phd wengi wanajikuta ni ma master mind.#fake life#fake life style.#
Back
Top Bottom