Yani NHIF wamefanya mambo mengi sana tena ni mazuri kwel..Sasa hivi vitu kwa watu wachini wakiwa wanaangalia wanaweza wakaendelea kulalamika kwasababu mtu anangalia hizi huduma nitazipataje..kiualisia silahisi kupata huduma kama huna bima maana ni ghali kwel.
Watu wanategemea kuambiwa kwa...
hakuna mtu anayeponda huo ujenzi na utasaidia sana...lakini acha watu waendelee kusifia lakini moyoni wanajua kwamba design ya pale ni mbaya bora ile ya kwanza ingefanyiwa modification kidogo....kile kitu kinachojengwa pale sio arficial kwamba miaka miwili mbele unakiamisha....
Yani NHIF wamefanya mambo mengi sana tena ni mazuri kwel..Sasa hivi vitu kwa watu wachini wakiwa wanaangalia wanaweza wakaendelea kulalamika kwasababu mtu anangalia hizi huduma nitazipataje..kiualisia silahisi kupata huduma kama huna bima maana ni ghali kwel..
watu wanategemea kuambiwa kwa...
Bora kwenda ccbrt , kwakua mwanza nikaribu bora urudi tena Bugando iliwakufanyie vipimo upya kwaajili ya operashani...lakini ukikata bima kabla itakusaidia sana hata katika hospital stay hapa bugando na vipimo vyote
Sasa ww umekua bais maana umeelezea upande mmoja wa westen countries peke yake..mbona ukuongea kuhusu teknologia iliyokuwepo Africa kama ya chuma,majengo ya kilwa ya zamani au wajua kwamba Sudan kuna mapilamidi mengi kuzidi Egypt kabla hayajalipuliwa na hao wazungu.....?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.