exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,190
- 3,685
Kwanza poleni na majukumu, pili naomba msaada mnieleweshe.
Mke wangu alikuwa anaumwa tumbo (mjamzito) tukaenda hospital akafanyiwa vipimo tukaandikiwa dawa akanunue lakini tunajaribu kuuliza tatizo ni nini wanatuficha.
Wanasema kuna tukio hapo nyuma lilitokea na dawa ndio hizo hapo tuliandikiwa.
Linaweza kuwa tukio gani?
Dawa nilizoandikiwa:
Shukrani.
Mke wangu alikuwa anaumwa tumbo (mjamzito) tukaenda hospital akafanyiwa vipimo tukaandikiwa dawa akanunue lakini tunajaribu kuuliza tatizo ni nini wanatuficha.
Wanasema kuna tukio hapo nyuma lilitokea na dawa ndio hizo hapo tuliandikiwa.
Linaweza kuwa tukio gani?
Dawa nilizoandikiwa:
Shukrani.