Yaliyojiri wakati wa mkutano wa mkurugenzi mkuu wa mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF)

kibokomchapaji

Senior Member
Aug 18, 2017
165
307
BW. BERNARD KONGA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MAFANIKIO YA MFUKO HUO KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 4 YA SERIKALI YA AWAMU YA TANO LEO DESEMBA 12, 2019*

NHIF imetumia jumla ya Shilingi Bilioni 13.7 katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Tano kuwezesha ukarabati na ununuzi wa vifaa vya matibabu kama MRI, CT SCAN na uanzishwaji wa viwanda vidogo vya kuzalisha maji na gesi

Baadhi ya Hospitali zilizonufaika ni Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bugando, KCMC, MOI, Ocean Road na Hospitali ya Rufaa Mbeya

NHIF imetoa fedha kuwezesha uwekezaji wa awamu ya pili katika Hospitali ya Benjamin Mkapa na ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa kuwezesha huduma za kibingwa kama upandikizaji figo

Shilingi Bilioni 32.10 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi na Bilioni 43.12 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Jijini Dodoma

Uwekezaji wa majengo pacha ya MOI umesaidia kuongeza uwezo wa kulaza wagonjwa na kuboresha huduma za Kibingwa

Majengo mengine yaliyojengwa kwa uwekezaji wa NHIF ni Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, Hospitali ya Rufaa Dodoma, Hospitali ya Rufaa Bugando na KCMC.

Wanachama wa NHIF wanapata huduma katika vituo 7,606 nchi nzima vikiwemo vya Serikali na Binafsi kwa ngazi zote ikilinganishwa na vituo 6,185 vya mwaka 2014/2015 ,Ongezeko hili ni sawa na vituo 1,421 kwa kipindi cha miaka minne.

Katika kipindi cha miaka minne, NHIF imelipa jumla ya shilingi trilioni 1,283,109,701,067 kwa vituo vyote vinavyohudumia wanachama wake nchini

Mwaka 2018/2019 Mfuko umelipa kiasi cha Shilingi Bilioni 444.1 ambayo ni ongezeko la asilimia 64 ikilinganishwa na malipo yaliyofanyika mwaka 2014/2015 ya shilingi bilioni 157.9

Jumla ya Shilingi Bilioni 43.12 zilitolewa kwa ajili ya vifaa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa

Mradi wa Tumaini la Mama ulilenga kuwapatia wanawake wajawazito bima ya Afya na umewanufaisha jumla ya akina mama 1,044,000.

Katika kipindi cha miaka minne mradi huu umewanufaisha akina mama 796,404 sawa na ongezeko la la asilimia 76 kutoka wanufaika 247,596 wa mwaka 2014/2015

Mradi wa Tumaini la mama umesaidia kupunguza vifo vya uzazi, umewezesha wakina mama kujifungulia Hospitali

Serikali kupitia Wizara ya Fedha na NHIF imesaini mkataba wa awamu ya tatu na KfW wenye thamani ya EURO milioni 13 sawa na Shilingi Bilioni 32.7 na utekelezaji utakamilika mwaka 2020.

NHIF imethibitishwa kwa utoaji wa huduma bora kwa viwango vya kimataifa na kukabidhiwa cheti cha ubora (ISO 9001:2015) mwaka 2018.

Ndani ya kipindi cha miaka minne ya Awamu ya Tano, mfuko umeimarisha mawasiliano na wanachama na wadau wake kwa kuanzisha Kituo cha Huduma kwa Wateja

Watumishi wa umma ambao mpaka sasa takribani asilimia 99 ni wanachama wa NHIF, Watumishi wa Sekta binafsi

Mfuko unahudumia wanachama 966,792 swa na wanufaika 4,025,693 ikilinganishwa na idadi ya wanufaika 3,237,434k kwa mwaka 2014/15 sawa na ongezeko la asilimia 20.
 
Kumbe pesa za wanachama wametoa kuipa serikali kujengea hospitali kisha wanakuja na vifurushi ambavyo hata mtu akiwa mjamzito anaambiwa mpaka atimize mwaka ndo kifurushi kinafanya kazi?

Unachukua pesa za kulipa matibabu unatumia kwenye shuguli nyingine halafu unafuta huduma za afya kwenye bima ya wananchi wa kawaida eti kifurushi hata Xray bima hailipi kimbe pesa washakomba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe pesa za wanachama wametoa kuipa serikali kujengea hospitali kisha wanakuja na vifurushi ambavyo hata mtu akiwa mjamzito anaambiwa mpaka atimize mwaka ndo kifurushi kinafanya kazi?

Unachukua pesa za kulipa matibabu unatumia kwenye shuguli nyingine halafu unafuta huduma za afya kwenye bima ya wananchi wa kawaida eti kifurushi hata Xray bima hailipi kimbe pesa washakomba

Sent using Jamii Forums mobile app


Sijawahi kuona faida ya uwepo wao na hasa katika kuboresha huduma kwa wagonjwa, sijawahi kwenda hosptali nikapata dawa zote nilizoandikiwa na dakitari sana sana nimepata usumbufu mkubwa kuzunguka jijini kutafuta dawa kila ukienda hapa wanasema nenda pale, gharama ya kuzunguka inakuwa kubwa kuliko ningetibiwa kwa fedha yangu taslimu
 
# NHF imetumia jumla ya Shilingi Bilioni 13.7 katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Tano kuwezesha ukarabati na ununuzi wa vifaa vya matibabu kama MRI, CT SCAN na uanzishwaji wa viwanda vidogo vya kuzalisha maji na gesi

#Baadhi ya Hospitali zilizonufaika ni Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bugando, KCMC, MOI, Ocean Road na Hospitali ya Rufaa Mbeya

# NHIF imetoa fedha kuwezesha uwekezaji wa awamu ya pili katika Hospitali ya Benjamin Mkapa na ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa kuwezesha huduma za kibingwa kama upandikizaji figo

#Shilingi Bilioni 32.10 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi na Bilioni 43.12 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Jijini Dodoma

#Uwekezaji wa majengo pacha ya MOI umesaidia kuongeza uwezo wa kulaza wagonjwa na kuboresha huduma za Kibingwa

#Majengo mengine yaliyojengwa kwa uwekezaji wa NHIF ni Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, Hospitali ya Rufaa Dodoma, Hospitali ya Rufaa Bugando na KCMC.

#Wanachama wa NHIF wanapata huduma katika vituo 7,606 nchi nzima vikiwemo vya Serikali na Binafsi kwa ngazi zote ikilinganishwa na vituo 6,185 vya mwaka 2014/2015 ,Ongezeko hili ni sawa na vituo 1,421 kwa kipindi cha miaka minne.

#Katika kipindi cha miaka minne, NHIF imelipa jumla ya shilingi trilioni 1,283,109,701,067 kwa vituo vyote vinavyohudumia wanachama wake nchini

# Mwaka 2018/2019 Mfuko umelipa kiasi cha Shilingi Bilioni 444.1 ambayo ni ongezeko la asilimia 64 ikilinganishwa na malipo yaliyofanyika mwaka 2014/2015 ya shilingi bilioni 157.9

#Jumla ya Shilingi Bilioni 43.12 zilitolewa kwa ajili ya vifaa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa

#Mradi wa Tumaini la Mama ulilenga kuwapatia wanawake wajawazito bima ya Afya na umewanufaisha jumla ya akina mama 1,044,000.

#Katika kipindi cha miaka minne mradi huu umewanufaisha akina mama 796,404 sawa na ongezeko la la asilimia 76 kutoka wanufaika 247,596 wa mwaka 2014/2015

#Mradi wa Tumaini la mama umesaidia kupunguza vifo vya uzazi, umewezesha wakina mama kujifungulia Hospitali

#Serikali kupitia Wizara ya Fedha na NHIF imesaini mkataba wa awamu ya tatu na KfW wenye thamani ya EURO milioni 13 sawa na Shilingi Bilioni 32.7 na utekelezaji utakamilika mwaka 2020.

#NHIF imethibitishwa kwa utoaji wa huduma bora kwa viwango vya kimataifa na kukabidhiwa cheti cha ubora (ISO 9001:2015) mwaka 2018.

#Ndani ya kipindi cha miaka minne ya Awamu ya Tano, mfuko umeimarisha mawasiliano na wanachama na wadau wake kwa kuanzisha Kituo cha Huduma kwa Wateja

#Watumishi wa umma ambao mpaka sasa takribani asilimia 99 ni wanachama wa NHIF, Watumishi wa Sekta binafsi

# Mfuko unahudumia wanachama 966,792 swa na wanufaika 4,025,693 ikilinganishwa na idadi ya wanufaika 3,237,434k kwa mwaka 2014/15 sawa na ongezeko la asilimia 20

Imeandaliwa na Idara ya Habari MAELEZO
 
Wangejua adha tunazozipata wanachama wao pindi tunapohitaji matibabu ! Maana dawa mahospitalini hakuna , daktari kujaza ile fomu ya kuchukua dawa nje mpaka wabembelezwe ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna RAIA milioni 55 na nhif ina idadi ya wanachama laki Tisa na ushee...

hawa milioni 50 wanahudumiwa na nani..!?

na walivyo walafi watafanya na sherehe ya kujipongeza..!?

pathetic.
 
Yani NHIF wamefanya mambo mengi sana tena ni mazuri kwel..Sasa hivi vitu kwa watu wachini wakiwa wanaangalia wanaweza wakaendelea kulalamika kwasababu mtu anangalia hizi huduma nitazipataje..kiualisia silahisi kupata huduma kama huna bima maana ni ghali kwel..
watu wanategemea kuambiwa kwa vifulushi vya bima vimeshuka ghalama hadi mkulima wa chini kabisa kijijini anaweza kukata bima sio wafanyakazi wa serikali pekee na mijini.
alfu mtu anataka kuambiwa sasa hivi ukienda hospital coverage ya bima yako imeongezeka kwa vipimo na madawa ie dialisis,vipimo vya picha .. ambayo haya kuwepo,sio kuendelea kupunguza hiyo coverage.
 
kuna RAIA milioni 55 na nhif ina idadi ya wanachama laki Tisa na ushee...

hawa milioni 50 wanahudumiwa na nani..!?

na walivyo walafi watafanya na sherehe ya kujipongeza..!?

pathetic.
Mkuu tuwe wakweli mfuko umepiga hatua kubwa tangu uzaliwe ,changamoto zipo ,tutor ushauri!
 
# NHF imetumia jumla ya Shilingi Bilioni 13.7 katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Tano kuwezesha ukarabati na ununuzi wa vifaa vya matibabu kama MRI, CT SCAN na uanzishwaji wa viwanda vidogo vya kuzalisha maji na gesi

#Baadhi ya Hospitali zilizonufaika ni Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bugando, KCMC, MOI, Ocean Road na Hospitali ya Rufaa Mbeya

# NHIF imetoa fedha kuwezesha uwekezaji wa awamu ya pili katika Hospitali ya Benjamin Mkapa na ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa kuwezesha huduma za kibingwa kama upandikizaji figo

#Shilingi Bilioni 32.10 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi na Bilioni 43.12 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Jijini Dodoma

#Uwekezaji wa majengo pacha ya MOI umesaidia kuongeza uwezo wa kulaza wagonjwa na kuboresha huduma za Kibingwa

#Majengo mengine yaliyojengwa kwa uwekezaji wa NHIF ni Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, Hospitali ya Rufaa Dodoma, Hospitali ya Rufaa Bugando na KCMC.

#Wanachama wa NHIF wanapata huduma katika vituo 7,606 nchi nzima vikiwemo vya Serikali na Binafsi kwa ngazi zote ikilinganishwa na vituo 6,185 vya mwaka 2014/2015 ,Ongezeko hili ni sawa na vituo 1,421 kwa kipindi cha miaka minne.

#Katika kipindi cha miaka minne, NHIF imelipa jumla ya shilingi trilioni 1,283,109,701,067 kwa vituo vyote vinavyohudumia wanachama wake nchini

# Mwaka 2018/2019 Mfuko umelipa kiasi cha Shilingi Bilioni 444.1 ambayo ni ongezeko la asilimia 64 ikilinganishwa na malipo yaliyofanyika mwaka 2014/2015 ya shilingi bilioni 157.9

#Jumla ya Shilingi Bilioni 43.12 zilitolewa kwa ajili ya vifaa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa

#Mradi wa Tumaini la Mama ulilenga kuwapatia wanawake wajawazito bima ya Afya na umewanufaisha jumla ya akina mama 1,044,000.

#Katika kipindi cha miaka minne mradi huu umewanufaisha akina mama 796,404 sawa na ongezeko la la asilimia 76 kutoka wanufaika 247,596 wa mwaka 2014/2015

#Mradi wa Tumaini la mama umesaidia kupunguza vifo vya uzazi, umewezesha wakina mama kujifungulia Hospitali

#Serikali kupitia Wizara ya Fedha na NHIF imesaini mkataba wa awamu ya tatu na KfW wenye thamani ya EURO milioni 13 sawa na Shilingi Bilioni 32.7 na utekelezaji utakamilika mwaka 2020.

#NHIF imethibitishwa kwa utoaji wa huduma bora kwa viwango vya kimataifa na kukabidhiwa cheti cha ubora (ISO 9001:2015) mwaka 2018.

#Ndani ya kipindi cha miaka minne ya Awamu ya Tano, mfuko umeimarisha mawasiliano na wanachama na wadau wake kwa kuanzisha Kituo cha Huduma kwa Wateja

#Watumishi wa umma ambao mpaka sasa takribani asilimia 99 ni wanachama wa NHIF, Watumishi wa Sekta binafsi

# Mfuko unahudumia wanachama 966,792 swa na wanufaika 4,025,693 ikilinganishwa na idadi ya wanufaika 3,237,434k kwa mwaka 2014/15 sawa na ongezeko la asilimia 20

*Imeandaliwa na Idara ya Habari MAELEZO*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie badala ya kutibu wagonjwa mnajifanya kutumia pesa zao kuwekeza, kisha mkipata hasara mpandishe gharama za bima kama mlivyofanya.
 

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umetajwa kuwezesha mageuzi yenye tija katika sekta ya afya katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Tano .

Akizungumza waandishi wa habari leo, Desemba 12, 2019 Jijini Dodoma kuhusu mafanikio ya mfuko huo, Mkurugenzi Mkuu wa mfuko huo Bw. Bernard Konga amesema kuwa baadhi ya Hospitali zilizonufaika ni Hospitali ya Taifa Muhimbili, Bugando, KCMC, MOI, Ocean Road,na Hospitali ya Rufaa Mbeya kwa kuwezeshwa kupata vifaa kama MRI, CT SCAN, uanzishwaji wa viwanda vidogo vya kuzalisha maji ya dripu, gesi na ujenzi wa majengo.

‘’ NHIF imetoa fedha kuwezesha uwekezaji wa awamu ya pili katika Hospitali ya Benjamin Mkapa na ununuzi wa vifaa tiba vya kisasa kuwezesha huduma za kibingwa kama upandikizaji figo, ambapo shilingi Bilioni 32.10 zimetolewa kwa ajili ya ujenzi na Bilioni 43.12 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa Jijini Dodoma ’’ Alisisitiza Konga

Akifafanua amesema kuwa uwekezaji wa majengo pacha ya MOI umesaidia kuongeza uwezo wa kulaza wagonjwa na kuboresha huduma za Kibingwa katika Taasisi hiyo, majengo mengine yamejengwa kwa uwekezaji wa NHIF katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, Hospitali ya Rufaa Dodoma, Hospitali ya Rufaa Bugando na KCMC.

‘’Wanachama wa NHIF wanapata huduma katika vituo 7,606 nchi nzima vikiwemo vya Serikali na Binafsi kwa ngazi zote ikilinganishwa na vituo 6,185 vya mwaka 2014/2015 ,Ongezeko hili ni sawa na vituo 1,421 kwa kipindi cha miaka minne’’. Alisistiza Konga

Katika kipindi cha miaka minne, NHIF imelipa jumla ya shilingi trilioni 1,283,109,701,067 kwa vituo vyote vinavyohudumia wanachama wake nchini wakati mwaka 2018/2019 Mfuko umelipa kiasi cha Shilingi Bilioni 444.1 ambayo ni ongezeko la asilimia 64 ikilinganishwa na malipo yaliyofanyika mwaka 2014/2015 ya shilingi bilioni 157.9

Akizungumzia utekelezaji wa mradi wa Tumaini la Mama ulilenga kuwapatia wanawake wajawazito Bw. Konga amesema kuwa mradi huo umetekeelzwa kupitia NHIF na umewanufaisha jumla ya akina mama milioni 1,044,000.

Katika kipindi cha miaka minne mradi huu umewanufaisha akina mama 796,404 sawa na ongezeko la la asilimia 76 kutoka wanufaika 247,596 wa mwaka 2014/2015 mradi huo umesaidia kupunguza vifo vya uzazi na umewezesha wakinamama kujifungulia Hospitali.

Serikali kupitia Wizara ya Fedha na NHIF imesaini mkataba wa awamu ya tatu na KfW wenye thamani ya EURO milioni 13 sawa na Shilingi Bilioni 32.7 kuwezesha utekelezaji wa mradi huo utakamilika mwaka 2020.

NHIF imethibitishwa kwa utoaji wa huduma bora kwa viwango vya kimataifa na kukabidhiwa cheti cha ubora (ISO 9001:2015) mwaka 2018, ndani ya kipindi cha miaka minne ya Awamu ya Tano, mfuko umeimarisha mawasiliano na wanachama na wadau wake kwa kuanzisha Kituo cha Huduma kwa Wateja.

Mfuko unahudumia wanachama 966,792 sawa na wanufaika 4,025,693 ikilinganishwa na idadi ya wanufaika 3,237,434k kwa mwaka 2014/15 sawa na ongezeko la asilimia 20.
 
Yani NHIF wamefanya mambo mengi sana tena ni mazuri kwel..Sasa hivi vitu kwa watu wachini wakiwa wanaangalia wanaweza wakaendelea kulalamika kwasababu mtu anangalia hizi huduma nitazipataje..kiualisia silahisi kupata huduma kama huna bima maana ni ghali kwel.

Watu wanategemea kuambiwa kwa vifulushi vya bima vimeshuka ghalama hadi mkulima wa chini kabisa kijijini anaweza kukata bima sio wafanyakazi wa serikali pekee na mijini.

Halafu mtu anataka kuambiwa sasa hivi ukienda hospital coverage ya bima yako imeongezeka kwa vipimo na madawa ie dialisis,vipimo vya picha .. ambayo haya kuwepo,sio kuendelea kupunguza hiyo coverage
 
Back
Top Bottom