Recent content by Chiferereji Cha jisatu

  1. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je ni kweli 85% ya ndoa za Harusi huvunjwa na walioshiriki harusi

    Aiseeh Leo katika pita pita zangu mm huwa syo mtu wa story za vjiwen ila Leo mlienda mahali tulikuw wanaume tu bas story zlipgwa nyingiii akina s unajua palpo na wanaume wanawake pia huongelewa😂😂, kama ilivo kwenye saloon za wanawake pia wanaume huongelewa 🥲🥲 Ikaja Agenda kama ilivosome hapo...
  2. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nishakata tamaa na kuoa

    Mmmh hvi n kwel mnakosa wanawke wa kuoa
  3. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakuu mambo ni matatu tu: Uligongewa, Unagongewa, au Utagongewa!

    Wanaume tunashawishi wanawke ila baada ya ushawishi kukubalika wanawke huishi kwenye huo ushawahi bila kukumbka nyuma Kuna Nini Cha mhmu kwke🥲🥲
  4. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Tanzania Najivunia kuwa na boksa nyingi kabati kuliko T-shirt/shirt na jeans.

    Mki Mkibiwa wanaume wana element za Ushonga mnatuka🤣🤣🤣🤣
  5. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napata changamoto ya kumsahau Ex wangu, nifanyeje?

    Mmmh pole Kwan mnakwmag wapi yaan mtu mmekuta wazma tu Kila mtu na akili timamu mwenzio kaona apte njia yake ww unaumia,, shida hisia sana kuliko akili,, unapenda had unasahau Kuna kuachwa
  6. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Tanzania Yapi ni maoni yako kwenye mjadala huu!

    Ndo maan nmesema Elimu iliishia 2013
  7. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Tanzania Yapi ni maoni yako kwenye mjadala huu!

    Saa hvi sasa ndo kwisha kabsa unaambiwa hata Chemistry unachgua Topic za kufanyia mtihan yaan uisomi Chemia yote, English pia imevnjwa yaan madogo wanogelea Elimu hawasomi elimu
  8. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Tanzania Yapi ni maoni yako kwenye mjadala huu!

    Mimi nlmemaliza 2015 form 4 hapo Elimu ilkuwa imeanza chakachuliwa Kwa mithn ya kidto Cha pili 2013 ilkuwa thabit kabsa ila baada ya hapo Elimu walianza kuichezesha tu mara GPA wakaon haifai wakarud Divisions akini Divisions znywe za kuwapa uzembe wanafunzi
  9. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Tanzania Yapi ni maoni yako kwenye mjadala huu!

    Elimu ya kwel na kujituma kusoma kuliishia miaka ya 2013 kushuka chini Kwa level zote za Elimu
  10. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Tanzania Ila watu wa Dar mnakula nini hizi?

    Manege
  11. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitumia miezi saba nikimtongoza,nimekuja kumpata nimeishia kimoja cha dakika mbili.

    Live kabsa , na mm siwezgi fanya hvo bila kupiga story yaan nakuwa kama sfanyi ila tupo kupiga story kumbe mechi inakuw live.
  12. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Tanzania Brand gani ya Tv unayo? Kwanini uliichagua hiyo?

    Kanda ya ziwa Ingia Kahama bei za vitu nzuri au Nzega kama utaweza
  13. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Tanzania Brand gani ya Tv unayo? Kwanini uliichagua hiyo?

    Chagua Hisence hutojuta,, npo na Hisence 43" 3yrs hsijawsh zngua nà almost nikama muda wote ipo on,,
  14. Chiferereji Cha jisatu

    JamiiForums Tanzania Vita iliyo anzishwa kumuangusha Ayotullah imegeuka na wenda kumnufaisha kisiasa

    Taifa la watu million 6 litawezajaze kushinda million 90, au sababu tunlisadk kwamb n taifa teule
Back
Top Bottom