Recent content by chief_mekwetiki

  1. chief_mekwetiki

    Ahsante mama nimekuelewa, samahani sana Irene wangu

    Hivi hiyo mwanamke anakuja kuishi naye mama yako au wewe? Unahitaji mwanamke anayependwa na mamako au unayempenda na kumwelewa? Fanya makosa yote ila si la kuchaguliwa mke wa kuoa .
  2. chief_mekwetiki

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Suala la Mungu halina dini. Jamaa amehitaji kuoewa elimu. Ni vyema akaelimishwa, kutokuwa na majibu kwako kusikufanye kuchukuwa nafasi ya Mungu kuhukumu kuwa anadhihakiwa. Muachie mungu nafasi yake . Mwanzilishi wa thread ajibiwe tusirahisishe. Wanatheolojia watujibu coz wana majibu kama huna...
  3. chief_mekwetiki

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Kuuliza si ujinga ni kutaka kujua. Kuna wenye elimu ya theolojia na Sana elimu ya haya mambo na wanaweza kumjibu vyema. Kama huna majibu usikimbilie kuchukua nafasi ya Mungu kuhukumu kuwa anamdhihaki Mungu
  4. chief_mekwetiki

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Mungu anatupenda na ndio maana ametupa utashi wa kutambua baya na jema, amekupa uwezo wa kuchagua kipi chema kwako na kipi si chema.
  5. chief_mekwetiki

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Hakuna anayeijua biblia, tunajifunza kila kukicha. Kuhoji sio dhambi, anahitaji kuelimishwa na ambacho angepata ni elimu. Kama unajua hiyo biblia kwa nini usimwelimishe? Kuna mambo ambayo hata uijue biblia VIP huwezi yatolea majibu. Kuna mambo mengine unatakiwa kuyaangalia kwa jicho la...
  6. chief_mekwetiki

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Kuuliza si dhambi wala kufdhihaki. Jamaa amehitaji kuelemishwa juu ya elimu ya kiungu. Haya mambo ni taaluma kabisa. Wana theolojia watakuwa na majibu yakinifu kwako. Pole sana kwa waliokusakama kuwa hutuhusiwi kuhoji. Mungu huangalia nia yako. Umehoji kutaka kuelimishwa hivyo ulihitaji...
  7. chief_mekwetiki

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Nani alikuambia Adam na Eva walikuwa weupe?
  8. chief_mekwetiki

    Misanya Bingi sasa ni Daktari wa Falsafa (PhD)

    Ni moja ya ndoto zangu....Hongera sana misanya. Kweli elimu haina mwisho na hakuna lisilowezekana ukiweka nia. I love this.... Get inspired
  9. chief_mekwetiki

    Uhakiki wa watumishi hewa utamalizika lini?

    Hakuna asiyetaka huo ujasiriamali. Sasa kama Amalia na kazi unadhan huo mtaji atakuwa nao?
  10. chief_mekwetiki

    Anayejua siasa za Afrika Mashariki anieleweshe

    Naomba nieleweshwe kuhusu mahusiano ya Rwanda na Tanzania, Kenya na Sudan kusini. Pia mahusiano kati ya raila odinga na JP magufuli. Na mahusiano haya yana athari gani kati ya siasa za tz na ke.? Kuna kitu kati ya Uhuru Kenyata na Lowassa? Leo tumeona akihudhuria kusimikwa kwa askofu wa...
Back
Top Bottom