Recent content by CHIEF NZELLAH

  1. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Kila naekutana nae tukipima ana ngoma!Hadi naogopa tendo

    Kwa hiyo mzigo ni sealed?
  2. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Japo Wakristo na Waislamu ni Watoto wa Baba Mmoja, Nabii Ibrahim na Mungu ni Mmoja, Kati ya Ismail na Isaka ni nani aliyetolewa Sadaka ya Kuchinja?

    Ibrahim alikuwa anagawa mali zake kwa kasi sana, baadhi ya watu wasio na imani wakawa wanamshangaa kwa kusema "itamsaidia nini kufanya hivyo" baada ya Ibrahim kusikia maneno hayo alisema "MIMI HATA NINGEJAALIWA KUPATA MTOTO NINGEMTOA SADAKA" kipindi hicho hakuwa na mtoto hata mmoja, hapa...
  3. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Hizi wilaya zinazidi makao makuu ya mkoa

    Dar ni kubww kuliko Dom... Au sijaelewa! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
  4. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Ikisimama panda
  5. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania WORLD BANK: Tanzania economic growth will drop sharply to 2.5% in 2020 from the projected 6.9% by the government due to effects brought by COVID-19

    Kwa Kwa anaejua Kiswahili vizuri kwenye ufahamu na ufupisho hii inafupishwa kama ifuatavyo:- "OLE WENU MSIPOKOPA FEDHA KWETU ie WORLD BANK AU IMF. "
  6. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Naomba CV ya Mheshimiwa Doto Biteko (Mbunge Bunge la JMT)

    Kwa hiyo walimu hawana vya kuigwa as long as just ni walimu tena msingi? Nini Kigezo cha mtu kuigwa a. Kusoma sana b. Kusema sana c. Kutenda yaliyo na faida kwa umma d. Kuwa fit financially e. Halipo hapo. Kama ni Jibu ni "E" Jibu sahihi ni lipi? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi Mkuu wa Majeshi(CDF) kufanya Press conference?

    Rekebisha Mwandiko Nielewe vizuri, ni kama Kuna neno hapa! [emoji15] [emoji15] Sent using Jamii Forums mobile app
  8. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi Mkuu wa Majeshi(CDF) kufanya Press conference?

    [emoji12] gwa ride hilo sasa! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  9. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Thinking Deeply: Ilikuwaje Tundu Lissu akavuliwa nguo zote na kupewa dereva badala ya mke wake?

    Zile nguo zinatakiwa lazima coz for the first time zimeonekana na Isitoshe Zina damu hivyo ku compare through DNA ni simple. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Thinking Deeply: Ilikuwaje Tundu Lissu akavuliwa nguo zote na kupewa dereva badala ya mke wake?

    1. Tutajua inatufundisha nini pale watakapozihitaji hizo nguo na a: zilimpataje dere! b: ziko wapi kwa sasa. 2. A need for DNA testing, damu ya Rais wa TLS ilinganishwe na ya kwenye nguo hizo. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Atakuwa anataka kununua Condom tu, Hakuna namna. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

    Wanatafunika tena hata bila chumvi. Wale sio kabisa, ushahidi niliuona mie! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  13. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Wadada tuambieni list ya wanaume mliovunja nao amri ya 6!

    Kwa hiyo tangu uote hicho kichwa umesex once? Yerrrewiiiiiih.
  14. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania CHADEMA, propaganda dhidi ya Makonda hazimsafishi Mbowe kadhia ya mihadarati

    Watanzania ni watu wanafiki sana. Tutaishi kwa matukio mpaka lini? Leo hii vyeti vya Makonda na wema sepenga ni Habari kuu kuliko maisha ya Ben saa nane! I hate Bongo.
  15. CHIEF NZELLAH

    JamiiForums Tanzania Haji Manara: Afe kipa, afe beki. Kufungwa watafungwa tu

    Mpira ungekuwa Maneno basi tayari 5-1 Ila kwa kuwa Mpira ni dakika 90 basi kimichezo tuseme any thing can happen.
Back
Top Bottom