Mi nataka kweny tasnia ya maafisa usafirishaji lkn nna changamoto kadhaa hivyo ningependa kupata USHAURI kutoka kwenu
Kwanza kabisa mi ninajua kuendesha pikipiki lakini sina leseni. Sasa kuna mahali NAFANYA kazi lakini ndo hivyo kipato ni cha kudunduliza, nimejimake nna akiba kama lak 8 hivi...
Wabongo mnafikiri vita ni kama mechi za mpira kati ya Bonyokwa FC na Kinesi...
Hapo unacheza na maisha ya watu Bob. Kweny vita hakunaga adui mdogo, ukienda kichwa kichwa unapasuka tuu vizur.
Lazima ujiulize hapo kuna ya nchi ngapi lkn yote mambo ni magumu sana. Hapo mkenya yupi, msauz yupo...
Mlee mtoto kama mwana mfalme kwa miaka mitano, mlee mtoto kama mtumwa kwa miaka kumi na Kisha mfanye kuwa rafiki yako miaka yote .
Hii ni falsafa ya wahindi.
NJOO BONGO SASA.
KWa miaka mitano mtoto alelewa kama mwana mfalme ☑️✅.
Kwa miaka kumi hapa ndo mfurugano sasa. Kuna wa kulea kama mwana...
Tatizo la jamii za kiafrika nikwamba utajiri uliruka vizazi vinne, hivyo basi kila anayepata nafasi atatumia fursa ipasavyo kuhakikisha anayafukia hayo mashimo.
Hata wewe ndugu mlalamikaji usikute huko nyuma kuna rafu nyingi sana ulishazifanya kulingana na nafasi uliyowahi kuwa nayo. Kwahyo...
Dahh pole sana.
Hii kazi niliwahi kufanya mwaka 2021 kampuni hyo hyo ya Garda world kwa muda wa miezi sita pale coca-cola.
Aisee hii kazi iskie tuu, lkn ni moja ya kazi sana yenye changamoto nyingi kama ifuatavyo.
1. AFYA NA UHAI.
Afya yako inakua hatarini kutokana na mkesha wa usiku...
Us,ulaya China , Russia Na Arabs Hawa wote ni wanyonyaji ispokua TU wanatofautiana katika Namna Fulani Fulani kama ifuatavyo.
Tunaanza na mwarabu;
Huyu ni kupe, akiamua kunyonya aisee kila rangi hutaacha kuiona, huyu ni mnyama aliyepitiliza haswa kwa hizi ngozi nyeusi Huwa yeye hazipi fagio...
Nashauri wanafunzi wa vyuo vikuu walipiwe ada tuu, lkn bumu wasipewe ili kuepuka mzigo wa deni la maisha huko mbeleni, mzazi jitahid sana kuepuka huu mzigo
Nashauri wanafunzi wa vyuo vikuu walipiwe ada tuu, lkn bumu wasipewe ili kuepuka mzigo wa deni la maisha huko mbeleni, mzazi jitahid sana kuepuka huu mtego
Ndio wajifunze kwamba kuna wengine wanateseka zaidi ya hapo, Bora yeye viongozi hawapokei simu lkn wanahudumiwa vzr tuu yamkini kuna akina sisi pangu pakavu tia mchuzi..
Ila mwanasiasa ni mtu wa dhulma sana, hebu fikiria kiongoz wa serikali kama waziri ama Raisi anagharamiwa maisha yake kwa...
Unawaza ugoro kabisa,
Hebu toka maporini huko..
Kiufupi TU ni kwamba ili tuwapite Kenya itabidi walale kwa miaka ishirini bila kufanya chochote ..
Tena hapo pengine tutakuwa sawa ila sio kuwapita..
Ogopa sana taifa ambalo wananchi wake wanajielewa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.