Recent content by CHIEF MANGUNGU

  1. CHIEF MANGUNGU

    Watu wa Itifaki hasa wa maandalizi ya shughuli sijaona umuhimu wa kupanga ratiba ndefu ya maombi kwa viongozi wa Dini katika hafla

    Yakobo 2:10-12 10 Kwa maana mtu ye yote anayetimiza sheria yote isipokuwa akashindwa kutimiza sehemu moja tu, amekuwa na hatia ya kuvunja sheria yote. 11 Kwa sababu yeye aliyesema, “Usizini” ndiye huyo huyo aliyesema, “Usiue.” Kama huzini lakini unaua, umekuwa mvunjaji wa sheria yote. 12 Kwa...
  2. CHIEF MANGUNGU

    Wapi naweza jifunza Lugha ya kiingereza???

    ras simba=0654 400 400, usipoelewa unarudishiwa ADA
  3. CHIEF MANGUNGU

    Msafara wa Waziri Mkuu wa Uingereza

    hao wenzetu wanatumia zaidi software na akili nyingi katika ulinzi kuliko kutumia nguvu na hardware....ingekuwa soka tungewaita beki mstaarabu kama Mathias sammer
  4. CHIEF MANGUNGU

    Wafahamu waarabu/usiyoyajua kuhusu waarabu

    ZANZIBAR SIYO NCHI
  5. CHIEF MANGUNGU

    Traffic Police Commercial Bank, the third most profitable bank after NMB and CRDB!

    dah majuzi ilibidi nibadili njia baada ya kupita maeneo ya mirembe huko dodoma, na kuwaona matrafic wadada wawili na suruali zao wanansimamisha kila gari, nikaona hiki kistarlet changu hawawezi kosa kunipiga faini
  6. CHIEF MANGUNGU

    Mengi: Bila K-lyn huenda ningeshakuwa nimekufa

    MT. 15:8 SUV Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.
  7. CHIEF MANGUNGU

    World Bank: We are very upset about what's happening in Tanzania...

    dereva wa lori achana nao hao, we are in the right track
  8. CHIEF MANGUNGU

    Clouds Media Group walia na ugumu wa biashara, Kusaga adai wanaweza kufunga hali ikiendelea hivi

    MBONA WANA MATANGAZO MENGI TUU, KWA MFANO MIMI NILIACHA KUSIKILIZA KIPINDI CHAO CHA SPORTS ROUND UP KWASABABU KIMEJAA MATANGAZO KULIKO TAARIFA ZA MICHEZO KAMA ZAMANI,...
  9. CHIEF MANGUNGU

    MEMBE ALONGA: Ashangazwa na namna alivyoitwa na Bashiru, amuita Musiba mwongo, mzushi na mfitini

    watu watasusa kula maembe sasa, maana kulinunua lazima ulitaje!
  10. CHIEF MANGUNGU

    Hoteli / Lodge nzuri jijini Tanga

    mdetele hotel(0654 075 548) ukiwa mmoja tsh 35,000 , mkiwa wawili 40,000
  11. CHIEF MANGUNGU

    Mhadhiri Vicensia Shule: Rushwa ya Ngono inatawala Chuo Kikuu DSM

    umenikumbusha mnamo mwaka 2007, girlfriend wangu alidisco yeye na group lake la watu 5 pale the maarufu kama "The Only Faculty" kwa kuwakatalia wahadhiri wakware, akaenda zake Mzumbe kuanza upya na akafaulu vizuri tuu, kwa sasa ni wakili msomi.
  12. CHIEF MANGUNGU

    Jaden Smith (mtoto wa Will Smith) atangaza kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja

    tuwe makini na vijitabu na katuni za watoto toka ughaibuni , Baadhi zina element hizo za kisodoma
  13. CHIEF MANGUNGU

    TANZIA: Mtangazaji wa Kituo cha Runinga cha Star Tv, Radio Free Africa Samadu Hassan afariki dunia

    "kijana barubaru kutoka mashariki ya mbali", tunarudi katika nchi ya jirani , Ni kenya Hapo, mahasimu wa siasa za kenya.....in Samadu voice.... we celebrate his life.
Back
Top Bottom