TFDA ndo Zero Brain kabsaa, bora hao watafiti wa kiki.
TFDA walisema mafuta ya mbegu za ubuyu yanasababisha cancer kisa Mh. Malecela alikuwa anapiga hela kimataifa..
We jiulize ulianza kula lini mafuta ya Alizeti na umepata madhara gan?? Baaasi
Kwa Elimu inayoyumbishwa kila iitwapo leo; Najua tatizo halipo kwenye mbegu za alizeti bali vichwa vya hao wanaojiita walifanya tafiti.
Wazee wetu wameishi miongo mitano na ushehe kwa kutumia mbegu hizi; katafiti kamezaliwa kanakula sembe na mayai ya kisasa kanasema kuna vimelea vya Kansa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.