Recent content by Chief Editor

  1. Chief Editor

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Nazitafuta hizi audio 1. Philbert kabago dear 2. Norichiko nimemfukuza wangu mpenzi 3. Na wimbo mwingine unaimbwa "ni rafiki tu mbona manzi yupo hata yeye anamjua ni rafiki tu"
  2. Chief Editor

    Mimi Mzee wa "USIOE" mapenzi yamenishinda, siyo kwa kununa huku kwa wanawake

    Kama anatumia halotel [emoji16][emoji16][emoji16]
  3. Chief Editor

    Yu wapi Z Anto?

    Ni dalali wa viwanja ....Kigamboni -Mwasonga
  4. Chief Editor

    Uzalo Special Thread

    Mbali na yote ....i miss nkule Atarud lini
  5. Chief Editor

    Marekani: Rais Biden ataka kutolewa Dola 100 kwa kila atakayepata chanjo ya COVID-19

    Kuna mpaka hafifu kati ya ushawishi huu na rushwa
  6. Chief Editor

    Mohammed Dewji: Mchakato wa mabadiliko Simba umekamilika, aweka bilioni 20

    Mkataba wa haki za matangazo wa ya usilinganishe na mkataba wa hisa za umiliki za simba. Mkataba wa haki za matangazo ulinganishe na mkataba wa haki za matangazo wa simba ukipatikana. Na hisa za simba zitalinganishwa na za yanga wakimaliza mchakato
  7. Chief Editor

    Kuna umuhimu gani au lengo kuu la kuwa na uwongozi wa Serikali ya Wanafunzi vyuoni inayoundwa na viongozi walioko chini ya mwamvuli wa chama

    Katiba ya nchi inaruhusu raia kuwa na chama cha siasa lakini vyuoni hutakiwi kutumia chama chochote cha siasa kama sehemu ya kampeni kupata uongozi ndani ya chuo. Pia hakuna katazo lolote lile juu ya kuwa kiongozi wa chama siasa na chuoni kwa pamoja. Lengo. Kwa vyama vya siasa. Kupata viongozi...
  8. Chief Editor

    Kuna umuhimu gani au lengo kuu la kuwa na uwongozi wa Serikali ya Wanafunzi vyuoni inayoundwa na viongozi walioko chini ya mwamvuli wa chama

    Umenikumbusha kipindi ambacho tulikuwa tunazifungia cafeteria kwa sababu tu zimepandisha bei ya chai kutoka mia moja hadi mia mbili ....lazima meneja atoe sababu kama ni sukari imepanda bei au la !!!! Hapo unalinda waliokupigia kura
  9. Chief Editor

    Anaomba nimsaidie pesa, sitampa maana kipindi cha mahusiano yetu hakuwahi kunipa penzi

    Mkuu hizi kwa mujibu wa nani kwa sababu mi najua usizini ni amri ya sita !!!
  10. Chief Editor

    Wimbo: Sina makosa

    Kaeni myamalize Kaeni mmumalize
Back
Top Bottom