Nazitafuta hizi audio
1. Philbert kabago dear
2. Norichiko nimemfukuza wangu mpenzi
3. Na wimbo mwingine unaimbwa "ni rafiki tu mbona manzi yupo hata yeye anamjua ni rafiki tu"
Mkataba wa haki za matangazo wa ya usilinganishe na mkataba wa hisa za umiliki za simba.
Mkataba wa haki za matangazo ulinganishe na mkataba wa haki za matangazo wa simba ukipatikana.
Na hisa za simba zitalinganishwa na za yanga wakimaliza mchakato
Katiba ya nchi inaruhusu raia kuwa na chama cha siasa lakini vyuoni hutakiwi kutumia chama chochote cha siasa kama sehemu ya kampeni kupata uongozi ndani ya chuo. Pia hakuna katazo lolote lile juu ya kuwa kiongozi wa chama siasa na chuoni kwa pamoja.
Lengo.
Kwa vyama vya siasa. Kupata viongozi...
Umenikumbusha kipindi ambacho tulikuwa tunazifungia cafeteria kwa sababu tu zimepandisha bei ya chai kutoka mia moja hadi mia mbili ....lazima meneja atoe sababu kama ni sukari imepanda bei au la !!!!
Hapo unalinda waliokupigia kura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.