details zilizotolewa wawili wameuawa mwaka huu na mmoja mwk Jana mwezi Wa December mwk Jana kuna shule karibu na lamadi inaitwa mwasamba sec, kuna mwanafunzi pale aliuawa mwezi wa 9 akiwa anatoka nyumbani kwenda shuleni pia kalemela; nyamikoma; na sehemu nyingi kandox2 ya ziwa ukiwa unaelekea...
Jeshi LA polisi wapuuzi kweli Mimi ni mwenyeji wa lamadi na shule nimesoma o level hapo lamadi Sekondari ninashangaa serikali imetoa idadi ya watu wa3 tu waliouawa wakati hali halisi wanazidi 38 hakuna lolote hapo mauaji yameanza tangu mwezi Wa 8 mwk Jana hiki ni Kishindo cha. Awamu ya 5 watuue tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.