Nani atapambana nakifo? Hakuna shujaa alietokea tena baada ya Jesus na hata Jesus akija duniani tena hawez kupambana na kifo. So dont worry be happy. Kula bata mpaka wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunabadilisha!!! Kweli maji dawa alikunywa Ray kigosi akawa mweupe leo ukichanganya na chumvi gari linabadilika rangi.. dah natamani niskie maji ukichanganya na asali buku inabadilika rangi na kua nyekundu inakua Teni duh
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wako hua anapigwa na kupigwa nao vizuri. Ndo maana anaenda kila siku. Safff kakutana na mwanaume mashine mwanaume makonzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahhaaa sa kuchart na umri vinahusiana nn sema natafuta demu usaidiwe. Wengine tunao watatu mpaka wote sema tukupatie toke mmoja
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.