Recent content by CHIBOLO 1

  1. CHIBOLO 1

    Kwa mara nyingine jeshi la polisi limechemka tena

    Sugu bangi mbowe bangi Lisu bangi nani mwenye mawazo salama
  2. CHIBOLO 1

    Hatimae CHADEMA yafanya kweli katika propaganda ya muda mrefu

    Prof.Abdallah Jumbe safari amewekwa kama shotu mbele ya gari na kwakuwa Safari anajitambua subilini muone muda simlefu mizengwe itaanza angalia wakaskazini walivyo jipanga yani yule msagaji ndio m/kiti wa akina mama Ukistajabu ya mussa utaona ya firauni
  3. CHIBOLO 1

    Sijaona sababu ya rais kukaa nje ya nchi kwa nusu mwezi

    Anaweka mipango ya nchi vizuli nyinyi endeleeni kupanga mandamaano uchumi utakuwa kwa haraka zaidi
  4. CHIBOLO 1

    CP Chagonja: Maandamano ya CHADEMA kesho ni batili

    Munaleta chokochoko kwa maslahi yenu wakisubutu tu ni kuvunjwa migu ndio dawa yao kisha kutupwa jela kesho nnataarifa ya kikao haramu sehemu nitalialika jeshi la police mapema nitaifanya kazi hi kwa nguvu zangu zote kwa maslahi ya Taifa hili watu wachache hawawezi kutuletea upumbavu ktk nchi...
  5. CHIBOLO 1

    Slaa na Lissu hatimaye wameonekana tena!

    Ktk hiyo esabu na watoto wao wamo? Au ndio mtaji watoto wamkulima anae subili mwanawe auzee begi karume kisha atume pesa ya sabuni kwa mama kijijini ndio akandamaane kwa faida ya nani Slaa nnamashaka na upadri wake Kiongozi gani asie na huruma kwa kondoo wa bwana vijana wenzangu tujiepushe na...
  6. CHIBOLO 1

    Hii ndio bendera ya ACT, rangi na maana zake

    Yani hawa niwahuni sio kidogo
  7. CHIBOLO 1

    Mbowe: Nimeitwa kwa DCI Manumba

    Baada ya kuvuna hiyo kitu maandamano
  8. CHIBOLO 1

    Safu ya Uongozi Mpya CHADEMA

    Sioni kamakuna jipya tatizo tunamizigo wanafanya siasa ushabiki yani maisha ya watanzania wakabiziwe cdm! Uwiiiiiiiiiiiiiiiiii yaguju
  9. CHIBOLO 1

    Mahakama ya Kadhi imekataliwa kwenye Rasimu ya katiba-Bunge maalum

    Unashangaa mjadala wa mahakama ya kadhi au shaanga ITALI kuwa na balozi 2 Tanzania moja inawakilisha nchi yapili inawakilisha ukristo hi anatatizo eeeeeeee
  10. CHIBOLO 1

    Malinzi na TFF yako, mmekosa umakini au ni tamaa?

    Tamaa imewaponza
  11. CHIBOLO 1

    Viongozi wa UVCCM toka mikoa mbalimbali wakiongozwa na Jery Silaa wafunika Mbeya

    Sugu atabebwa na ukawa bhana tehtehtehtehe
  12. CHIBOLO 1

    Mbowe anastahili pongezi & certificate of appreciation na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa

    M/kiti gani kila ukionacho lazima akanunue yeye utaratibu wawapi m/kiti bwana fedha wewe taarifa zikiwa na mapungufu nani atahoji katengeneza mtandao wakumtetea maovuyake anashindwa kuwatendea haki wanachama wa cdm wachache ataweza kuwatetea watanzania
Back
Top Bottom