Prof.Abdallah Jumbe safari amewekwa kama shotu mbele ya gari na kwakuwa Safari anajitambua subilini muone muda simlefu mizengwe itaanza angalia wakaskazini walivyo jipanga yani yule msagaji ndio m/kiti wa akina mama Ukistajabu ya mussa utaona ya firauni
Munaleta chokochoko kwa maslahi yenu wakisubutu tu ni kuvunjwa migu ndio dawa yao kisha kutupwa jela kesho nnataarifa ya kikao haramu sehemu nitalialika jeshi la police mapema nitaifanya kazi hi kwa nguvu zangu zote kwa maslahi ya Taifa hili watu wachache hawawezi kutuletea upumbavu ktk nchi...
Ktk hiyo esabu na watoto wao wamo? Au ndio mtaji watoto wamkulima anae subili mwanawe auzee begi karume kisha atume pesa ya sabuni kwa mama kijijini ndio akandamaane kwa faida ya nani Slaa nnamashaka na upadri wake Kiongozi gani asie na huruma kwa kondoo wa bwana vijana wenzangu tujiepushe na...
Unashangaa mjadala wa mahakama ya kadhi au shaanga ITALI kuwa na balozi 2 Tanzania moja inawakilisha nchi yapili inawakilisha ukristo hi anatatizo eeeeeeee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.