maandamano bado yapo pale pale hatuogopi vitisho wameshakufa wengi na wengine ni vilema mpaka leo kwa sababu ya ukombozi
Hakika umenenaHivi vyombo vya usalama viache kutumiwa kisiasa, waache ukibaraka kwa ccm na wasifikiri ccm itaongoza hii nchi milele.
watoto wa Mbowe wote wako Marekani ni raia wa marekani kwa kuzaliwa Siku wakiwa mstari wa mbele kwenye maandamano na mimi nitaandamana
Watu vibaraka kaa wewe hawafai popote pale. Alichosema Mbowe ni maazimio ya mkutano mkuu wa CDM na si jambo geni. Ni wajibu wa kila raia mwema kutii sharia zote halali za nchi na kuzivunja sharia zote kandamizi/dhalimu za nchi. Sehemu bora kabisa kwa raia kuishi kwenye nchi yenye utawala dhalimu na kandamizi ni jela.Jambo baya kabisa kwa mtu kushikiana na mtesi wake na kumaidia kumtesa. Henry, Ghandhi, King, Mandela Kwame na Nyerere walipitia hayo na baadae dunia ikawahesabu kuwa ni watu muhimu na maana waliopata kuishi katika jamii zao. Kwa mifano, Ghandhi, aliongoza watu wake wa India ya kale kuvunja sheria iliyowakataza kutengeneza chumvi iliyowekwa na serikali ya kiingereza. Martin Luther King, alimuunga mkono mama aliyepinga na kuvunja sharia ya utumiaji mabasi na alihamasisha na kushiriki katika harakati zote za kupinga sharia kandamizi marekani. Si ajabu kuwa katika harakati zote hizo, wengi walikufa na hata hao wawili waliuawa. Kufa kupo na inapasa kuchagua, kufa kwa unafiki na woga, huku ukikosesha haki zako za msingi au kufa kwa ushujaa na ukweli ukidai haki zako. Ni heri sote tukichagua kutokufa kwa unafiki wa amani na utulivu huku tukikosa hata panado kwenye hospitali zetu wakati walafi na vibwengo vyao walika mabilioni ya walipakodi hivihivi.Nimemsikia akiongea ITV kuwa ameitwa kwa DCI Manumba baada ya kutangaza maandamano nchi nzima na kusisitiza maandamano yako pale pale acha hata damu zimwagike japo CP Chagonja ametangaza kuwathibiti watakaofanya maandamano hayo.
Huyu Mbowe naona ana mihemko ya kuchaguliwa baada ya kubeba vibabu toka maeneo mbalimbali vimchukulie fomu.
Ni vema akakae chini atafakari nafasi aliyojitafutia ajue wapi aboreshe na siyo kutafutia waliomchagua matatizo.
kweli maCCM ni ujinga mtupu, ndo maana nchi yarudi nyuma. Unajua sheria wewe? Sheria iko hivi: polisi hujulishwa tu siku, time na mahali pa maandamano na wao kazi yao ni kutoa ulinzi. Hakuna mahala sheria inawapa mamlaka polisi kutoa vibali vya maandamano. tena namuomba Mbowe amuulize huyo aliyemwita amuonyeshe kipengele cha sheria! Inasdikitisha polisi wetu hawajui hata sheria.
Akina Chagonja wanasema wanavyosema ni kwa sababu polisi wetu ni wavivu katika kila kitu.
kweli maCCM ni ujinga mtupu, ndo maana nchi yarudi nyuma. Unajua sheria wewe? Sheria iko hivi: polisi hujulishwa tu siku, time na mahali pa maandamano na wao kazi yao ni kutoa ulinzi. Hakuna mahala sheria inawapa mamlaka polisi kutoa vibali vya maandamano. tena namuomba Mbowe amuulize huyo aliyemwita amuonyeshe kipengele cha sheria! Inasdikitisha polisi wetu hawajui hata sheria.
Akina Chagonja wanasema wanavyosema ni kwa sababu polisi wetu ni wavivu katika kila kitu.
mpeni kichwa tu muone moto wake! Hamjui mmechokwa kama uji ulolala!
Nimemsikia akiongea ITV kuwa ameitwa kwa DCI Manumba baada ya kutangaza maandamano nchi nzima na kusisitiza maandamano yako pale pale acha hata damu zimwagike japo CP Chagonja ametangaza kuwathibiti watakaofanya maandamano hayo.
Huyu Mbowe naona ana mihemko ya kuchaguliwa baada ya kubeba vibabu toka maeneo mbalimbali vimchukulie fomu.
Ni vema akakae chini atafakari nafasi aliyojitafutia ajue wapi aboreshe na siyo kutafutia waliomchagua matatizo.
DCI Manumba na Chagonja?!
Nimemsikia akiongea ITV kuwa ameitwa kwa DCI Manumba baada ya kutangaza maandamano nchi nzima na kusisitiza maandamano yako pale pale acha hata damu zimwagike japo CP Chagonja ametangaza kuwathibiti watakaofanya maandamano hayo.
Huyu Mbowe naona ana mihemko ya kuchaguliwa baada ya kubeba vibabu toka maeneo mbalimbali vimchukulie fomu.
Ni vema akakae chini atafakari nafasi aliyojitafutia ajue wapi aboreshe na siyo kutafutia waliomchagua matatizo.