[QUeaOTE="lufuo, post: 16719938, member: 275315"]Wanaume nimewagopa sana sina hamu na nyie. Nilikuwa na mchumba nikapata mimba akawa amefurahi sana basi tukakubaliana tukwaweka mikakati yetu. Tulikuwa tunaishi mkoa moja mm nikapata kazi mkoa mwingine ikabidi tuwe mbali ila tukawa tunaonana mara...
hapa magufuli alishindwa kujieleza kama kawaida yake, nilivyo mwelewa yeye sio mwanasiasa akimaanisha hizi siasa za maji taka za bongo, siasa za maji taka hata kwenye mambo ya msingi which I support him
watu wanapaswa kuelewa kuwa Lowasa ana fedha kama anafanya kitu chochote fedha lazima ionekane. yaani hata mengi akifanya safari na wewe ukifanya safari ileile Mengi ataonekana anatumia hela nyingi. Huo ndo ukweli
Chetambala take:kuendelea kufikiria Kariakoo ni fikira mgando
Kinachopaswa kufanyika ni katika Mikoa Mitatu ya Dar kujenga hiyo Utopia shopping moles unazo ongelea moja Temeke, Kinondoni na Ilala. Kariakoo ibaki Makumbusho. Tujenge vitu vya ukweli embezoni, sio kila kitu KKoo na Posta, hizo ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.