katika watu ambao wanajari wateja hakuna kma dstv labda tv yako ndio shida ila nenda ktk ofisi zao waelezee tatizo lako na nenda na hyo dekoda yako kuna team yao ya mafundi watakushughulikia tatizo lako au umetumwa na wengineo wenye ushindani wa kibiashara na dstv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.