Recent content by Chert

  1. Chert

    Namna hii? Acha tu tusafiri na wake zetu

    Mkuu we acha tu hizi mambo...unakua kama lofa flani hivi na unakua huoni value ya unachokitoa ila ukipata mzigo majuto huja...Sasa mwenzetu hata mzigo hakupata na kahudumia inauma sana
  2. Chert

    Ludovick Utoh: Spika Ndugai kumwita CAG Assad ni jambo jipya, halijawai kutokea toka nchi kupata uhuru

    Uto kaongea asubuhi kwa njia ya simu kupitia kipindi cha power breakfast akihojiwa na Philip Mwihava wa PB....Unachokipinga n kipi mkuu
  3. Chert

    Dhahabu ya mabilioni na mamilioni ya shilingi taslimu yakamatwa Mwanza!

    Mkuu kuna mahala mleta uzi alijaribu kusahihisha na kusema dhahabu ni Tsh bil 3 na sehemu afu pesa cash ilikua Tsh Mil 360 sasa calculations zangu zimebase hapo...Othewise nakubali kujikuna
  4. Chert

    Dhahabu ya mabilioni na mamilioni ya shilingi taslimu yakamatwa Mwanza!

    Kwa wanaosema Chaser haiwez kubeba Gold ya Bil 3, fanya mahesabu haya kidogo...1g of pure gold =94,000/ Tsh sasa chukua hio Bil 3 gawia 94,000/- unapata approximately 3100g of gold,sasa hii kwa kipimo cha kg it's almost 31 kilograms of gold ambazo zinawezekana kabisa kubebwa kwenye gari...
  5. Chert

    faida ya institution of engineering ni nini?

    Mkuu pale ERB wanahitaji cheti cha form 4,6/dip pamoja na matokeo ya degree ya kwanza (Academic transcripts) au cheti kama unacho na sh ef 5,baada ya miezi miwil unapewa namba ya usajir. ...Utalipia ef 30 kama ada ya mwaka as a graduate engineer...hio IET sio lazima
  6. Chert

    Tunaokumbuka ' Differential Equations na Integral ' tukutane hapa..

    Hio PCM , afu nikaja kupambana nayo tena kwenye Engineering mathematics 3 Chuo hatar sana hayo madubwasha akili lazima ikukae sawa...unagonga triple integral afu unaambiwa uchange order acha bhana...
  7. Chert

    Kwa mara ya kwanza, 2018 Tanzania inapata madaktari bingwa wanawake wa upasuaji wa Ubongo, Mgongo na Mishipa ya fahamu

    Wap uliwahi kusikia mhandisi bingwa au mhandisi msomi. ..toa mifano halisi kiongozi
  8. Chert

    Je, unakumbuka nini enzi zako za JKT? Ni mambo gani yalikufurahisha au kukukwaza?

    Oljoro JKT op Miaka 50 ya Muungano....asee m namiss mabio tu na kutafuna mahindi makavu njaa ikikutandika ukiwa unavuna mahindi Embakasi/Shamba dunia...ila ukitoka kule swala la aibu ya kukaa uchi inaondoka....kunya vichakani dah asee
  9. Chert

    NIMEPOTEZA VYETI VYANGU NAWEZAJE KUKAMILISHA USAJILI WANGU WA CHUO

    Kwa experience yangu ndogo chuoni...hakuna aliewahi kupotelewa vyeti ndani ya mazingira ya chuo visipatikane (watu wengi wa chuo wanafahamu umuhimu wa vyeti hivyo);so best option kwa sasa nikuonana na viongozi wa serikal ya wanafunz (DARUSO) watakusaidia sana mkuu kukutangazia...All the best
  10. Chert

    Laptop vyuoni, wanachuo huwa mnazitumiaje?!

    Kuna masomo chuo usipokua na PC utateseka sana imagine unasoma Computer Aided drafting (AutoCad ) afu hauna hio pc inakua shida...kingine kulingana na mabadiliko ya ki technology wahadhiri wengi wanapenda kaz ziwe typed ili kurahisisha usomaji (kuna watu wana miandiko mibovu hatari ) na...
  11. Chert

    Maisha ya Boarding enzi zile

    Hawalimi tena na kupangiwa zamu za kuhudumia banda la nguruwe?? Kwenda ulokoni na kuangalia mpira kwa mzee katemana....Kuna kipind linapita gharika la ukaguzi wa simu asee hata kama una SIM card inakula kwako
  12. Chert

    Maisha ya Boarding enzi zile

    Nimepita pale 2012 nilikua Ruhinda bweni la mwisho kabisa kuelekea pyramid....asee asikwambie mtu ile n JKT mchaka mchaka kwenda bugashani,BLTC bado issue ya kulima,ukienda kuangalia mpira nje ya shule jiandae kula nyama zilizoganda...Nyakato mama
  13. Chert

    Ni rahisi sana kupata first class Ukiwa UDOM kuliko UDSM, IFM, SUA na Mzumbe. Inaonekana Walimu wa UDOM wanafundisha sana

    Udom college of Earth sciences na Cive ukipata first class we n mbabe sana sana,hio Udom mnayoiongelea nadhani n tofauti na nnayoijua mimi...
  14. Chert

    Udom college of informatics na changamoto ya vyoo vichafu

    Ukibanwa sana muda wa kwenda ujasi huko kuna mapori kibao hapo kati ya ujasi na uwanja pendwa kabisa wa cive unafanya yako (sio best option)
Back
Top Bottom